Tv imaan yapata kibali rasmi

Tv imaan yapata kibali rasmi

Status
Not open for further replies.
Tv imaan yapata kibali rasmi. Tv hii inaendeshwa na islamic foundation.
Licha ya islamic foundation kumiliki tv. Pia ina redio na shule za sekondari.lakini inamiliki zahanti nyingi hapa nchini zinazosaidia waislam na wasiokuwa waislam
pia ni taasisi iliokaribu sana na chuo kikuu cha waislam morogoro ambapo mwenyekiti wa islamic foundation ndie mshauri mkuu wa fedha chuoni.
Hapo kwenye nyekundu wakristu kwenye miraadi ya kijamii kama uliyoitaja , wao husema zinazosaidia Watanzania. Umeelewa tofauti?
 
Ninachokiona humu kwenye jf ni ukiristo na ukiristo na ukiristo. Suala lolote linalohusu wafuasi wa dini ya kweli, dini ya Mjumbe wa Allah (SWT) ambae ni Mtume Muhammad (SAW), hupigwa vita vya hali ya juu. Hamuna uvumilivu. Why ????

Hao ni wapuuz kama wapuuz wengine acha wabwatukee wawezavyo wasikuumize kichwa. Uislam utakuwepo mpaka mwisho wa hii dunia hata museme nini uislam ndio dini ya haki.
 
Yuwiii sasa kutaanza kutimka vumbi humu jf coz megaphone ya waislam imewashwa.
 
Ndugu yangu ugaidi sio monopoly ya Waislam hata Wakristu magaidi wapo tena wengi. Umesahau mara hii yale ya IRA, LRA na karibuni Ant-Sekela pale CAR? Watu waovu wapo kote kwa Wakristu na Waislam kwa hiyo usipate shida kutumia nguvu nyingi kutukana Waislam.

Halafu hata huyo Yesu hakuja kufundisha wafuasi wake kutukana wasio mwamini. Sitashangaa huyo Yesu akakukana siku ya kiyama maana unafanya yale ambayo yeye asingefanya kama kutukana, kueneza chuki badala ya upendo na kukosesha amani baina ya wanadamu.

Kasome upya Biblia yako utaona kuwa wewe si mfuasi wa Yesu kama utaendelea na tabia yako hiyo.
Your words utter non sense. You can go to hell.
 
unaweza kushangaa hapa ni watu wazima na familia zao wapo siriaz nyuma ya keybord. tz bado safari ndefu
 
Una yako na subiri twende na mfumo wa ukweli na uwazi wa mambo ambayo mnayachimbia chini ya madhabahu kwa mgongo wa Serikali
 
Ukitaka kila unachotaka wewe kifanyike unasahau ka wenzako nao wanavitu ambavyo wanahitaji vifanyike.ni vizur kukaa pembeni kwa jambo usilolipenda...cha msingi ni kuheshimiana na kutokudharauliana,uwe mkristu uwe muislam sote ni jamaa moja..uzungu na uarabu hata si wetu ni wao
 
hata zitto na arfi wanapigwa vita ndani ya chadema kwa sababu ni waislam tu. WANGALIKUWA WAKIRISTO unadhani makanisa yangalikuwa yafanya vikao vya siri kuwaunganisha. Wakiristo wamejiapanga kila kona

Na Mustafa Akoonay je? Muhonga Ruhanywa? Mohamedi Mtoi? Abdallah Safari? Maulida Komu je?
 
Last edited by a moderator:
Ayaaah kipofu kaona yani hawa jamaa wakipata tv hutalala tena kiongozi awe illunga au basaleh

Hao Ilunga na bassaleh kwasasa hawana nguvu tena hata miskiti waliyokuwa wanaiongoza wamepinduliwa kwasababu.ya UBADHIRIFU
 
Ninachokiona humu kwenye jf ni ukiristo na ukiristo na ukiristo. Suala lolote linalohusu wafuasi wa dini ya kweli, dini ya Mjumbe wa Allah (SWT) ambae ni Mtume Muhammad (SAW), hupigwa vita vya hali ya juu. Hamuna uvumilivu. Why ????

Ndugu yangu utapigwa ban ya nguvu,, mimi nilishapigwa ban kibao kisa eti mdini kwa kuchangia kawaida tu,, ila wao waanapomuita mtume wetu mbakaji ,, gaidi utakuta threds zinadumu,,, kwa taarifa yako kesho yawezekana usinione tena hapa,, ban .. ban,, hapa mfumo unatumika si bure
 
Ninachokiona humu kwenye jf ni ukiristo na ukiristo na ukiristo. Suala lolote linalohusu wafuasi wa dini ya kweli, dini ya Mjumbe wa Allah (SWT) ambae ni Mtume Muhammad (SAW), hupigwa vita vya hali ya juu. Hamuna uvumilivu. Why ????

ni vema ukayaona yale wanayoyafanya wanaojiita waislamu ndo uje kuutuhumu ukristo
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu hata kama unauma
 
Wacha woga wa kijinga,kila wakati unawaza mambo ya ajabu ajabu,au jamaa wameshakushughulikia kuleee,ndio mana wawaogopa
 
Ndugu yangu utapigwa ban ya nguvu,, mimi nilishapigwa ban kibao kisa eti mdini kwa kuchangia kawaida tu,, ila wao waanapomuita mtume wetu mbakaji ,, gaidi utakuta threds zinadumu,,, kwa taarifa yako kesho yawezekana usinione tena hapa,, ban .. ban,, hapa mfumo unatumika si bure

Waislam msilalamike bure. tumewapa urais. rais hakai ofisini anakaa hewani. tumewapa makamu hakai ofisini anafungua washa. tumewapa mawaziri kibao uwaziri. wamekua miziho isiyobebeka. tumewapa viwanja pale Kibasila ..mmemuuzia Manji kwa bei chee. tumewapa ruksa ya kuoa wake wanne. mnaongoza kwa nyumba ndogo na umalaya. tumewafundisha usafi mnakuja oficini na janaba. tumesema nguruwe ni mchafu. waislamu wa kigogo wanaongoza kwa kutafuna kitimoto. mmepewa kur an mnasoma Biblia tena kwenye mihadhara. mpewe nini mtulie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom