okaoni
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 1,471
- 1,308
Hapo kwenye nyekundu wakristu kwenye miraadi ya kijamii kama uliyoitaja , wao husema zinazosaidia Watanzania. Umeelewa tofauti?Tv imaan yapata kibali rasmi. Tv hii inaendeshwa na islamic foundation.
Licha ya islamic foundation kumiliki tv. Pia ina redio na shule za sekondari.lakini inamiliki zahanti nyingi hapa nchini zinazosaidia waislam na wasiokuwa waislam
pia ni taasisi iliokaribu sana na chuo kikuu cha waislam morogoro ambapo mwenyekiti wa islamic foundation ndie mshauri mkuu wa fedha chuoni.