Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Waislam msilalamike bure. tumewapa urais. rais hakai ofisini anakaa hewani. tumewapa makamu hakai ofisini anafungua washa. tumewapa mawaziri kibao uwaziri. wamekua miziho isiyobebeka. tumewapa viwanja pale Kibasila ..mmemuuzia Manji kwa bei chee. tumewapa ruksa ya kuoa wake wanne. mnaongoza kwa nyumba ndogo na umalaya. tumewafundisha usafi mnakuja oficini na janaba. tumesema nguruwe ni mchafu. waislamu wa kigogo wanaongoza kwa kutafuna kitimoto. mmepewa kur an mnasoma Biblia tena kwenye mihadhara. mpewe nini mtulie
Duh we jamaa ni noma..wamepewa Quran wanakomaa na Biblia