Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.
Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.
Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
[emoji173] ubarikiwe sanaSana mkuu[emoji109][emoji173]
Asante sana DemiSawa mkuu, hongereni sana
Sizungumzii athari zake, bali uwepo wakeHaya mashindano ndio yanayo wakwamishaa....
Siwezi kuwa na mahusiano na mfanyakazi mwenzangu wala boss.kazini kwako hakuna mwanaume?
Hongera Kwa kumpata, mshikilie Kwa nguvu asikuponyoke....Kwa huduma ya ukungwi njoo pm🤣🤣🤣 uje na hela.😂nimepitia mengi kufikia hapa cute....kuna mbwa na vicheche ila kondoo wapo pia
Upweke sio mzuri.Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.
Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.
Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.[emoji120]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We unafikiri singo maza hawapendi kuwa na waume zao? Shida ni sisi wanaume ndo hatupendi kuoa singo maza ni wanaume wenzetu wachache sana walio bahatika kulogwa ndo wameoa
Ila we baba una gubu kama wamama wa vicoba waliocheleweshewa gawio. Yani mada imenyooka ila bado uko na gubu lako.ooh haki sawa, ooh 50/50 ooh wanamake wafuate ndoto zao sio wanaume, a lot of nye nye nye ila ukweli hua upo ndani ya kila feminist kua mwanaume ni leader, provider and protector na hakuna HAKUNA siku mwanamke atakua sawa na mwanaume.
Barikiwa sanaUpweke sio mzuri.
Hongera kwa wanawake wote wanaoheshimu our presence.
Yaani anajisikia salama.
Kuna dada nimezaa naye.
Huwa Nampa pesa za kufanya mambo anayoyataka ili maisha yaendelee.
Lakini anaweza tafuta kitu na mkataba ataniita niingie Mimi.
Yaani ni Ile kuheshimu uwepo wa mwanaume pembeni yako.
Na sisi tunawapenda Sana.