Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Leo mchana wakat naongea na mke wangu tukireflect mwaka 2022..Kuna kauli ameisema inaendana na hii ya To yeye ..amesema KWELI nimeamini Bila wewe baba Blanca mwaka huu nisingefika popote...nikamwambia mwanaume kamili anatakiwa kuwa hivyo ba kikubwa hukanionyesha jeuri,dharau Wala kibri....moyon nimekisikia Aman sana
 
Leo mchana wakat naongea na mke wangu tukireflect mwaka 2022..Kuna kauli ameisema inaendana na hii ya To yeye ..amesema KWELI nimeamini Bila wewe baba Blanca mwaka huu nisingefika popote...nikamwambia mwanaume kamili anatakiwa kuwa hivyo ba kikubwa hukanionyesha jeuri,dharau Wala kibri....moyon nimekisikia Aman sana
Yeah,wanawake tujifunze kuwa na shukrani
 
Na Leo wakat naongea na wife nimetumia katuni mbili za masudi kipanya kuonyesha nafasi ya mwanamke katika familia na mwanaume nafasi yake..

NB:katuni moja ya pikipiki na ingine ya troli...wanawake wanapaswa wazieelewe...
 
Na Leo wakat naongea na wife nimetumia katuni mbili za masudi kipanya kuonyesha nafasi ya mwanamke katika familia na mwanaume nafasi yake..

NB:katuni moja ya pikipiki na ingine ya troli...wanawake wanapaswa wazieelewe...
Sawa mkuu
 
To yeye wasaidie mabinti wenzako katika kuelewa nafasi mwanaume katika maisha yao..wengi wanadhan wanaweza simama 💯 bila mwanaume...mwanamke akijitambua na akampa nafasi mwanaume wake maisha yanakiwa bull bull..
Huu ni ukweli mchungu
 
Hakuna raha ya kuwa mpweke ndio maana Mungu alituumba wawili. Its nature yani huwezi kwepa hata ukijizima data kuna muda utakufundisha adabu tu.

Wenzio wako vaccation wanainjoy na bebe zao kina baba Alvin wewe uko kwenye apartment unalia lia kama fala🤣🤣🤣
Data imeshazimwa

🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom