Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Kila kitu ni makubaliano lakini... Ulikuwa kimasihara maanake umeokubali hiyo hali
 
Wanaume wanaoheshimu hisia za watu, ni watu makini sana kujenga ustawi bora wa mahusiano na malezi. [emoji95]
 
Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu
Hii kauli siku moja nataka itamkwe na Mama Samia Suluhu Hassan pale kwa Mkapa mbele ya Maiki, maana dah wanawake wamekua visabengo haki ya nani
 
Back
Top Bottom