Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

giphy.gif
Oyooo
 
A man represents God. Any man even if he is weak represents God. A man should not consider or respect his wife's feelings. A man should not have feelings or emotions. A man with emotions is a woman.
 
Wanawake wenye umri mkubwa 35+ huwa wanasema hivyo lakin hivi vinyonyoma vya under 30 wanavimba sana , lakin mwisho wa siku wanaishia kuchukua waume za watu
Uko wap nikununuliee kitu cha WINE MKUUU UMEONGEA POINT SANA THEN VISHENZI SANA KAZI KUCHANGANYA MA BWANA TU VINA TAMAAA KMA FISI
Vikiwa kwa A vina msema B vikienda huku vina ropoka ya kule tabu tupu
 
Uko wap nikununuliee kitu cha WINE MKUUU UMEONGEA POINT SANA THEN VISHENZI SANA KAZI KUCHANGANYA MA BWANA TU VINA TAMAAA KMA FISI
Vikiwa kwa A vina msema B vikienda huku vina ropoka ya kule tabu tupu

😂😂😂😂
 
Ahsante kwa ku-realize ivo it's my best wishes wanawake wote walitambue hili
 
Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.
Ahsante kwa muongozo
 
Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
Wanaume tunasema asante Kama imefikia hatua single mamaz mnakili kuwa "once you're beside a man, you feel secured"
 
Back
Top Bottom