Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

😂😂jaman
Umeongea kweli tupu. Jioni hii kuna singo maza nilimpa lift. Wakati naingia barabarani nikamwambia angalia gari huko. Na ulivyo huna mume ukivunja kiuno nani atakuwa anakutawaza. Akaniambia hahitaji ndoa akipata shida ndugu watamsaidia. Ikabidi nipaki gari nikamsomeshe aache kabisa ujinga.
Mume ni nguzo kuu, hao ndugu watapata uraisi wa kukusaidia kama kuna mtu yupo front wanampa support.
 
Umeongea kweli tupu. Jioni hii kuna singo maza nilimpa lift. Wakati naingia barabarani nikamwambia angalia gari huko. Na ulivyo huna mume ukivunja kiuno nani atakuwa anakutawaza. Akaniambia hahitaji ndoa akipata shida ndugu watamsaidia. Ikabidi nipaki gari nikamsomeshe aache kabisa ujinga.
Mume ni nguzo kuu, hao ndugu watapata uraisi wa kukusaidia kama kuna mtu yupo front wanampa support.
Kabisa yaan
 
Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
ooh haki sawa, ooh 50/50 ooh wanamake wafuate ndoto zao sio wanaume, a lot of nye nye nye ila ukweli hua upo ndani ya kila feminist kua mwanaume ni leader, provider and protector na hakuna HAKUNA siku mwanamke atakua sawa na mwanaume.
 
Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.[emoji120]
Ndio maana kumbe yule binti nikiwa nae hata kuongea huwa hawezi labda kwenye simu au texts.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.[emoji120]
[emoji120][emoji120] Umetuheshimisha sana kwa kutambua hilo ila wanawake wenzio mambo yao ni mengi na wanachanganya mambo na kukoroga mambo ingali muda ni mchache
 
[emoji120][emoji120] Umetuheshimisha sana kwa kutambua hilo ila wanawake wenzio mambo yao ni mengi na wanachanganya mambo na kukoroga mambo ingali muda ni mchache
Kuna muda watatambua ukweli mkuu
 
Back
Top Bottom