Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Ni kweli aisee,home hakuna baba hata kuweka taa tunatafuta kijana jirani.
Khe nyie mpaka taa mnaita mtu???
Mimi mpaka holder ya taa nafunga mwenyewe.
Ndani kwangu kuna tester na vifaa vingine kama bisibisi nk.
Ila yote kwa yote wanaume wanahitajika sana(wanaojielewa lakini).
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.
Amina. Ubarikiwe kwa kulikiri hilo.
 
Back
Top Bottom