Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Yani na wanawake tungekuwa appreciated na wanaume kama hivi hakika ulimwengu wa mapenzi ungekuwa sehemu salama sana

Kinachotukwaza wengine ni kuona comments za matusi na makasiriko tu kwa wanawake kila siku yani

Bora tujifunze kutambuana umuhimu wa kila jinsia kwa nyenzie jamani
 
Yani na wanawake tungekuwa appreciated na wanaume kama hivi hakika ulimwengu wa mapenzi ungekuwa sehemu salama sana

Kinachotukwaza wengine ni kuona comments za matusi na makasiriko tu kwa wanawake kila siku yani

Bora tujifunze kutambuana umuhimu wa kila jinsia kwa nyenzie jamani
Amina mom,kuna siku Mungu wetu atawakumbusha
 
Ubarikiwe sana kwa kulitambua hilo na Mungu aendelee kukufunulia mengi zaidi juu yetu sisi Wanaume.
 
Haya na nyie sasa muache kupost against us,

yaan mwaka huu wanaume wa humu wako so against us

It could be fair mmoja wenu akatuappreciate na sisi just a little bit [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa kama umekaa kibabe babe tu kama wale Ke wa kanda ya ziwa na kusini unategemea Wanaume wa Dar watakukubali [emoji848][emoji87]
 
Sasa nitoke wapi na feminist kama Joyce? wakati watoto wanyenyekevu wapo?
Nikikosa kabisa nitamuomba dadangu
Chakorii anitafutie wale wakisalimiwa vizuri Yeriko inazizima kwa nderemo🤣🤣🤣
Wewe umeshindikana, huyo ndio size yako. Akunyooshe.
 
Back
Top Bottom