Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Maisha haya…ni ya kiwaki kishenzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Fyafyafyaaa!
Maisha haya…ni ya kiwaki kishenzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Fyafyafyaaa!
Jirani nilishakuombaga unishikishe adabu kidogo...,Hivi umewahi kupenda wewe? Au kaz yako kuvurugavuruga jirani?
😀😀kwamba ninaharaka na swali😀😀safiiiKuwa mpole mama 😀😀
Nitakuuliza ukiwa na mood nzuri
Mfuniko wangu, limeniingia To yeye Kaongea neno na nalifanyia kazi.Bantu Lady somo hili limekuingia?
Yaani haya?Glenn Kwan majina yenye mchanganyiko wa sukari na chumvi yamekata..😆😆😆
Ok.Hayo maneno uliyoyaandika ni sehemu ya wimbo wa Yvone Chakachaka aliimba akisisitiza tunavyohitajiana katika maisha na mahaba miongoni mwa wanaume na wanawake.Miaka ya kati ya '80!
Jirani unajiongopea unayempenda anakuliza Kila siku, Jana tu umetoka kuongea nae Leo una fungua thread...😂😂😂😂aisee....naomba ibaki Siri yako.Afu mbona nampenda ivoivo
Jirani,we ni kivuruge,ujana bado unakusumbua.Yule anacho nusu ila namwapreciate ivoivo.Wewe huwezekaniki aisee.Jirani unajiongopea unayempenda anakuliza Kila siku, Jana tu umetoka kuongea nae Leo una fungua thread...
Nikubambie kitu au basi utacheka sana...