Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Yani na wanawake tungekuwa appreciated na wanaume kama hivi hakika ulimwengu wa mapenzi ungekuwa sehemu salama sana

Kinachotukwaza wengine ni kuona comments za matusi na makasiriko tu kwa wanawake kila siku yani

Bora tujifunze kutambuana umuhimu wa kila jinsia kwa nyenzie jamani
Umetukosea adabu sana Me kutufananisha tabia kiujumla na Wanaume wa Dar ...[emoji30]
 
Hatimaye akili zimeanza kuwarudi baadhi ya single mom, hongera kwa kutambua nafasi ya men
 
Kiujumla Me na Ke tunategemeana, ukimwona Me amekaa kiupondaji tu masaa 24 kuhusu Ke tambua yuko kwenye distress zone na vise versa is totally true [emoji124]
 
Nani amenishindwa?
Na kwanini alikuwa akishindana nami hadi anishindwe?

Sitaki mwanamke wa kushindana nami🤣
Sawa father x-mas.

Halafu nina kesi na wewe.
 
Sasa kama umekaa kibabe babe tu kama wale Ke wa kanda ya ziwa na kusini unategemea Wanaume wa Dar watakukubali [emoji848][emoji87]
Aah rafiki angu wewe unakurupuka 😃😃😃 nimesema hivo maana tangu huu mwaka uanze humu JF kuna thread mingi za kuponda wanawake

So nikasemea kupitia hio comment waache kutusemea vibaya waige mfano wa To yeye

Haya umeelewa sasa 😃😃
 
Back
Top Bottom