Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

Hakuwa mmubebez mwaya.

Baada ya kusoma ujumbe wake nilicheka sana(Sijui kwanini)nilifurahi sana….nikalia sanaaaa..halafu nikajifungia ndani nikalewa Sanaa mpka nikazima.nakuja kustuka mlango unagongwa kama unataka kuvunjwa.

Sijui kwanini siku ile nilikumbwa na ile hali.ninajiuliza mpka sasa sipati jibu
Lol polee dear..ulipatwa na Ussshuunggguu sana Ndiomana uliliaa!
All in all Mungu ni mwema na hutuletea watu sahihi kwa Wakati wake tusilaumu sana!!
Mapenzi matamu sana ukipata mpenzi rafiki 😍!!
 
Lol polee dear..ulipatwa na Ussshuunggguu sana Ndiomana uliliaa!
All in all Mungu ni mwema na hutuletea watu sahihi kwa Wakati wake tusilaumu sana!!
Mapenzi matamu sana ukipata mpenzi rafiki 😍!!
Kwenye mishipa ya damu imejaa mpenzi rafiki..unaokutana nao wanataka fyafyaa..so unaona hamuwezani unaamua kuendelea kupenda wali ndondocapu
 
Yaan kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenz) I feel safe.

Aisee, tupendane tu maana hakuna namna.Yaan hata kama ni single mom kama Mimi watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake. Ninachoamini hatukuumbiwa upweke, trust me kuna mwenzio yupo. Achana na huyo kivuruge asiyeeleweka ila mwenzio wa kukutuliza nafsi yupo.

Baba ni baba tu, mkaka ni mkaka tu, yaan mwanaume ni mwanaume tu. Wanaume mnaoheshimu hisia za wanawake, muwe na maisha marefu.🙏
Asubuhi asubuhi na uzi wa sifa, itakua baharia mwenzetu katuwakilisha vema jana usiku, kitu ilichakatwa ile ile.

Hongera sana baharia huko ulipo
 
Back
Top Bottom