NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Yani kuna baadhi ya marafiki zangu huwa nawashangaa, wanaweka status za biashara utadhani sisi ni wateja wao.
Nina rafiki kila siku anaweka status za chupi, mwengine kila siku anaposti status za oili za pikipiki, mwengine tray za mayai, mwengine simu, n.k. huwa inafika mahali sasa natamani hata nizifungie status zao maana mimi huwa nategemea kukuta status za maisha yao wao kama wao lakini nakutana na status za matangazo ya biashara tu, inakera kwakeli
Napenda nikiingia status ya ndugu, kaka, dada, rafiki, mke, jirani, wanafamilia, n.k nikute hata kaposti picha yake ama hata kituko, haya mambo ya kuposti posti biashara yatafutiwe namba zake za ziada kwajili ya wateja.
Nina rafiki kila siku anaweka status za chupi, mwengine kila siku anaposti status za oili za pikipiki, mwengine tray za mayai, mwengine simu, n.k. huwa inafika mahali sasa natamani hata nizifungie status zao maana mimi huwa nategemea kukuta status za maisha yao wao kama wao lakini nakutana na status za matangazo ya biashara tu, inakera kwakeli
Napenda nikiingia status ya ndugu, kaka, dada, rafiki, mke, jirani, wanafamilia, n.k nikute hata kaposti picha yake ama hata kituko, haya mambo ya kuposti posti biashara yatafutiwe namba zake za ziada kwajili ya wateja.