dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,687
- 18,596
- Thread starter
- #81
Sina njaa mkuu Niko vzr najitegemea nimetoa ya moyoni kuwa umeme jwa Sasa umeimarika na hii n kutoka na juhudi za mama wetuTutolee siasa za ki njaa njaa hapa
Sina njaa mkuu Niko vzr najitegemea nimetoa ya moyoni kuwa umeme jwa Sasa umeimarika na hii n kutoka na juhudi za mama wetuTutolee siasa za ki njaa njaa hapa
Mama yako so wetuSina njaa mkuu Niko vzr najitegemea nimetoa ya moyoni kuwa umeme jwa Sasa umeimarika na hii n kutoka na juhudi za mama wetu
Usipanic mkuu,ule wenyewe inawezekana bado haujakufikia,uko njiani unakuja...Hapa bila bila Toka jana
Njaa ya matyako wazi itakuponzaNi week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani
Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi
Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale
Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu
Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno
Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious
Kwa SAS safarini mabibo DSM
0759085510
Njaa ya matyako wazi itakuponzNi week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani
Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi
Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale
Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu
Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno
Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious
Kwa SAS safarini mabibo DSM
0759085510
Nyumbu wa Chadema watakuita chawa 😁😁Ni week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani
Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi
Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale
Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu
Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno
Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious
Kwa SAS safarini mabibo DSM
0759085510
Machadomo hawawezi kukuelewa maana ndio hoja ya msimu walikuwa wanaitumia 😂😂Ni week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani
Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi
Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale
Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu
Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno
Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious
Kwa SAS safarini mabibo DSM
0759085510
Kwamba wamefanya Kaz kubwa SAS HV hkn makeelelWatu ujasiri wa kusifia tanesco wanautoa wapi?
Hitilafu tu mkuuhuku tabata since morning bila bilanshaoga mara 7
masaa 9Hitilafu tu mkuu
Chadomo wanadandia hoja tu hawajui wshiki ipi mara dpw ,tanseco Mara katiba mara uchaguzi mara afyaa wapo ilimradi wapige makele tuMachadomo hawawezi kukuelewa maana ndio hoja ya msimu walikuwa wanaitumia
Soma hapa Hivi yale makelele ya Mgao wa Umeme na Sukari kuadimika yameishia wapi?
Hali itaaha sawa mkuumasaa 9
Umelelewea vibaya San na wazazi wako usipo jirekebisha ss tutakurekebisha shenzi weweNjaa ya matyako wazi itakuponz
Sahih kbsaa waelekezwe ukweliUsipanic mkuu,ule wenyewe inawezekana bado haujakufikia uko njiani unakuja...
Sahih kbsa nakubaliana na Hilo mkuu wanguUkiona mtu jf ujue vidato vipo
Unafahamu kuna maeneo umeme hakuna tangu jana?Kwamba wamefanya Kaz kubwa SAS HV hkn makeelel
Mm siyo mfanyakaz wa tansesco Ni zamani tu nimefanya idara ya service line chin ya injinia donasiano shamba yey akiwa distribution principal
mwaka gani 😂😂wakati mnatusababisha watu tukakae barHali itaaha sawa mkuu
Taja hayo maeneo ili wafikiwe sas kuliko kusema tu bilakutaja taja vijan wafike siteUnafahamu kuna maeneo umeme hakuna tangu jana?