Tuwape Tanesco maua yako haraka

Tuwape Tanesco maua yako haraka

Then na wewe namba ya simu hapo mwisho umeweka ya nini?

Ukitaka kujua ugumu wa kupata uteuzi awamu hii kwa nyie msiotambulika huko juu muulize hapa mtu anaitwa somebody Mashamba atakwambia.
Na mpk Sasa nimeshapigiwa simu na mtu akiniukiza umri wangu ,Elimu yangu na akinpa nimfowdie credentials zangu kwa namba zake

Ishalaal mungu Ni mwema Wenda nikala uteuzi ila Nina Kaz zangu tambua hilo
 
Na mpk Sasa nimeshapigiwa simu na mtu akiniukiza umri wangu ,Elimu yangu na akinpa nimfowdie credentials zangu kwa namba zake

Ishalaal mungu Ni mwema Wenda nikala uteuzi ila Nina Kaz zangu tambua hilo
Ingekuwa simple hivyo waliokutangulia wasingekuwa bado humu wakilia lia
 
Ni week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani

Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi

Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale

Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu


Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno

Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious

Kwa SAS safarini mabibo DSM


0759085510
Watu jana tumeshinda kutwa bila umeme hadi usiku, leo tena washachukua mapema, ina maana mpake tena jioni/usiku. Kiufupi hao jamaa ni wapumbavu sana, wana dharau alafu ni waongo sana, wanaona kama vile wanaongoza mbuzi tu. Madaraka yamewalevya mpaka wamejisahau, hata hako ka Biteko kamekua kalongolongo sana siku hizi, kama tu PM alivyo mlongo.
 
Njoo chuoni j hapa Nina kikao na engineer wa mechanical

I'll kma VIP tukutane baadae hapo Riverside nitakiwepo hapo pia na kamishina wa madini
Engineer wa fyoco🤣🤣🤣

Baadae jioni takua kwa shemeji yako mitaa ya mabibo jeshini
 
Watu jana tumeshinda kutwa bila umeme hadi usiku, leo tena washachukua mapema, ina maana mpake tena jioni/usiku. Kiufupi hao jamaa ni wapumbavu sana, wana dharau alafu ni waongo sana, wanaona kama vile wanaongoza mbuzi tu. Madaraka yamewalevya mpaka wamejisahau, hata hako ka Biteko kamekua kalongolongo sana siku hizi, kama tu PM alivyo mlongo.
Kwanza uwe na heshima na adabu kwa viongozi wako waandamizi

Nimeshasema kuwa Kuna hitilafu na hi Ni kutokana na umeeme kuwawingi ktk vtuo vya kuupozea umeme tuvumiliane mkuu
 
Na mpk Sasa nimeshapigiwa simu na mtu akiniukiza umri wangu ,Elimu yangu na akinpa nimfowdie credentials zangu kwa namba zake

Ishalaal mungu Ni mwema Wenda nikala uteuzi ila Nina Kaz zangu tambua hilo
Ingekuwa simple hivyo waliokutangulia wasingekuwa bado humu wakilia lia
 
Unamsifia Muuaji kwa kuua watoto wako wanne sababu amekubakizia mmoja !!!
 
Hata sikuwa nimemaliza kuusoma uzi wote kwahiyo huyu ni mdogo wake na Lucas
Never on the Earth " mm Sina vinasaba na watu wa songwe hasa wanyia na wandali mm siyo wa pande hzo ,mm nimetokeaa eneo lenye watu werevu na akili kubwa na pesa pia IPO na Elimu pia imo Sina vinasaba na bwana yule Lucas mwasamba
 
Back
Top Bottom