Tanesco kwa Vyanzo vyake ingekuwa inauza umeme Africa nzima let alone mgao Tanzania....Una maana gani kka kumpa mtu maua Yale Ni dhambi kumbe
Gongolamboto ninyi na chanika ni special case kwa Kweli tunafikiria kuwapa kinu chenu wenyewe huko Ni noma Kwanza kwann unaisha gomz ukaacha tegeta ,kimara ,mbeziNipo Gomz, wamekata asubuhi hadi sasa holaa...
Hahaaaa!! Tunafuata mkate.Gongolamboto ninyi na chanika ni special case kwa Kweli tunafikiria kuwapa kinu chenu wenyewe huko Ni noma Kwanza kwann unaisha gomz ukaacha tegeta ,kimara ,mbezi
Sawa uko wilaya gani mkuu mbyea Ina wilaya Saba Seema ufikiweNiko Mbeya wilayani nimefika jana mchana umeme ulikuwepo ilivyofika usiku wakati mechi Yanga inaendelea kipindi cha pili ukakata umekuja kurudi sa 5 usiku. Asbh ya leo wamekata mpaka sasa hamna kwenye lodge wamewasha jenereta
Sawaaa Basi muwe nasubira tutawafikia kwa kuwekeaa kituo chenu Cha kuupozea kbsaHahaaaa!! Tunafuata mkate.
Hapa Sinon, Makao mapya hakuna umemeEngutoto ni Njiro? Kwahiyo wa CRDB kuja BP, sio Njiro?
Hitilafu tu imetoeaa asbh na kutokana na mvua zinazonyeshaa pande hzoHapa Sinon, Makao mapya hakuna umeme
Kwamba nikikwambia wilaya ndio utakuja kurudisha umeme? Anyways niko UsanguSawa uko wilaya gani mkuu mbyea Ina wilaya Saba Seema ufikiwe
Eeh kwani walikuwa hawtaki kuwasha ?Mimi ndo nilishauri kuhusu kuwashwa kwa hiyo mitambo.
🤣🤣🤣🤣Mi na mishe zangu nafanya bn zinanipa ulajiNo usije na mtu yoyote mkuu
Tuonane wawili tu tufaamiane na kubadilishana mawili
Kma huna Kaz maalumu njoo na CV zako pia
KodiNi week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani
Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi
Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale
Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu
Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno
Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious
Kwa SAS safarini mabibo DSM
0759085510
Basi inaonekana hujaenda kidato kivile ila fresh wee njoo tuyajenge nilijuwa huna Kaz nikupe mchongo Happ Happ mabiboMi na mishe zangu nafanya bn zinanipa ulaji
Yaah magu was very rightBei ishuke kama ilivyokua mipango ya mwendazake.
Hii itasaidia kupunguza uharibifu wa mazingira maana majiko ya umeme yatatumika zaidi
Sasa mkuu Huko mashambani kwenye mpunga ndio unasema uko mjini anyway tulia utarud Kuna hitilafu kweny msongo wa kilovolts 3500 kwenye njia hiyo watu wako kazniKwamba nikikwambia wilaya ndio utakuja kurudisha umeme? Anyways niko Usangu
Babu mam ameongeza pesa Kuna bwawa Huko njombe nalo wanajenga kuleta megawatt 70 pia itaunganishwa kwenye gradeTanzania bila kiwango cha chini cha uzalishaji umeme cha 10,000 Mw bado safari ya kuupiga umasikini vita haijaanza.
Chini ya hapo ni kutuliza njaa tu.