Tuwape Tanesco maua yako haraka

Tuwape Tanesco maua yako haraka

Ni week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani

Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi

Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale

Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu


Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno

Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious

Kwa SAS safarini mabibo DSM


0759085510
Huku mwanza, bado dozi inaendelea hadi sasa umeme hakuna.

Tanesco wanatunyoosha.
 
Niliona tangazo lao,wakisema utakatwa saa moja asubuhi na kurudishwa saa 11 jioni,wanasema wanaboresha miundombinu yao iwe imara.....kwa maelezo ya taarifa yao niliyoiona
wametuua😂😂 ngoja nivumilie
 
Kuna watu walikuwa wanakejeli kuwa ile treni yetu ya umeme itshindwa kufanya kazi kwa sabab hatuna umeme wa uhakika

Wasichokijuwa ni kwamba Zanzibar inatumia umeme wa uko uko bara inaweza kufika miezi 3 umeme haujakatika labda kwa hitilafu ya kiufundi na hauzidi masaa 8 unakuwa isharudi.

Ninachotaka kusema kwenye suala la umeme ni vile wakubwa tu hawajaamua ila wakiwa serious iyo kukatika katika umeme inakuwa ni jambo la kihistoria
 
Niliona tangazo lao,wakisema utakatwa saa moja asubuhi na kurudishwa saa 11 jioni,wanasema wanaboresha miundombinu yao iwe imara.....kwa maelezo ya taarifa yao niliyoiona
Exactly kbsa
 
Back
Top Bottom