Tuwape Tanesco maua yako haraka

Tuwape Tanesco maua yako haraka

Wafanye unit 1=100 maana yake 1000=10 unit... Ukitoa 10000= 100 unit, hiyo iwe kwa residential(majumbani) halafu huko viwandani napo wawafikirie....lakini kwa hivyo watu wataona umeme ni bora kuliko mkaa na gesi, watu watafunga ac majumbani pasipo hofu ya bill, mashine za kufulia hazitakuwa anasa tena kwa baadhi ya watu...kwa ufupi ghalama za maisha zitapungua. Lakini haya yote ni ndoto chini ya jini mtu mweusi !
Angalia na gharama za kuliendesha shirika, hio 100 itaua shirika chap sanaaa 😂
 
Sifa ziende kwa Marehemu Magufuli, kwa kutekeleza mradi wa kihistoria ambao wengine wote waliogopa kuukamilisha.
Yeye huyo huyo ndiyo alisema lile Bwawa liki kamilika bei ya umeme ita pungua.
After kifo chake Tanesco wamesema bei ya Umeme itabaki pale pale haita pungua.

Sifa zote ziende kwa Magufuli hata kama ni marehemu kwa sasa.
Nakubaliana na wewe asilimia Mia moja
 
Angalia na gharama za kuliendesha shirika, hio 100 itaua shirika chap sanaaa 😂
Hapana na faida watapata tu nzuri,makampuni tu ya simu tu yapo kiushindani tena mengi na faidia wanapata sembuse Tanesco hawana mshindani nchini
 
Ni week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani

Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi

Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale

Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu


Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno

Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious

Kwa SAS safarini mabibo DSM


0759085510
Huku Arumeru Arusha hauko tangia asubuhi. Huyu meneja wa TANESCO Arusha anauuza nchi jirani ya Kenya?
 
Tabata Dar es salaam tangu asubuh hakuna umeme hayo maua ya tanesco wapewe nyuki tutakula asali.
 
Ni week Sasa imepita bila kuona adha yoyote ya umeme Ni mwanzzo mwisho mzigo upo Hadi nimekosa Cha kufanyia huu umeme yaani Ni full kuteleza na hi Ni baada ya kuwasha mtambo namba nane wa megawatt 235 na Sasa nimeamini kuwa kulikuwa Kuna shida ya upungufu wa umeme ktk mitambo yetu ya zamani

Sasa najiuliza ikiwashwa ule namba Tisa wakutoa nao megawatt 235 manake Ni Kwamba kutakuwa na Ziada ya megawatt 70 isiyo tumikaa popote pale ,kwa mujibu wa taarifa ya Tanesco na wizara kulikuwa na upungufu wa megawatt 400 tu na Sasa tumepewaa megawatt 235 na Bado mam wetu anakweda kuwasha zile megawatt 235 mtambo namba 9 March hi

Sasa piga hesabu vzr 2115-470 = 1645 hzo zote Ni megawatt ambazo zitakuwepo bila kutumika popopte pale

Basi mam wetu ikikupendeza shusha Bei ya umeme angalau ule wa elf kumi tuwe tunapata unit 40 badala ya 28 ya Sasa hivi
Kwa kufanya hvyo kura yangu ya 2025 nitakupaa na family yangu yote itakupigia kura uendee kuendeleea kula raha ktk kiti kikuu Cha ikulu


Jamani mnyonge mnyongeni Ila haki yake tumpe mama hapa kapambana mno

Mm nilijuwaga msanii fln tapeli hv kumbe yuko serious

Kwa SAS safarini mabibo DSM


0759085510
Hatutaki siasa tunataka umeme wa uhakika
 
Maua yatolewe kulingana na kijiji,kata,wilayq na mkoa unaoishi ila huku kwetu hapana

Nyumbani✅
Hapa ninapokula Kongoro ni ❌

Aisee bado sijawakubali kabsaa
 
Back
Top Bottom