Tuwaorodheshe hapa wahusika wa uvunjaji wa haki za Binadamu

Tuwaorodheshe hapa wahusika wa uvunjaji wa haki za Binadamu

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,946
Reaction score
38,656
Wananchi wenzangu, poleni sana kwa unyama tunaoupitia kabla na baada ya uchafunzi mkui.

Bila kupoteza muda nawaomba tuwataje wale wote wanaohusika na uvunjwaji wa haki za Binadamu. Lengo ni kiwasaidia wanasheria na watetezi wa haki za binadamu kuwajumuisha kwenye kesi inayotarajiwa mahakama ya ICC
  1. Samia Suluhu Hassan
  2. Emmanuel Nchimbi
  3. Mwigulu Lameck Nchemba
  4. CDF
  5. IGP
  6. Jumanne Muliro
  7. FaustinMafwele
  8. DGIS
  9. Jaji Mkuu
  10. Tulia Akson
  11. Ɓashungwa
  12. Ramadhan Kingai
  13. Mwanasheria. Mkuu
  14. Christian Makonda
  15. Kheri James
  16. Albert Msando
  17. Omera
  18. Jakaya Kikwete
  19. Gerson Msigwa
  20. Abdul Suluhu
  21. Mohammed Mchengerwa
  22. Rostam Aziz
  23. Chalamila
  24. Mwesiga
  25. .....

Orodha inaendelea. Orodhesha unaowafahamu.
 
Tulia Akson naona aliona mapema sanaaa nini kinakuja kutokea ina maana kwamba alijuwa kutakuwa na msala mkubwa sana kwa taifa...Ila bado kaunganishwa kwenye list.
 
Wananchi wenzangu, poleni sana kwa unyama tunaoupitia kabla na baada ya uchafunzi mkui.

Bila kupoteza muda nawaomba tuwataje wale wote wanaohusika na uvunjwaji wa haki za Binadamu. Lengo ni kiwasaidia wanasheria na watetezi wa haki za binadamu kuwajumuisha kwenye kesi inayotarajiwa mahakama ya ICC
  1. Samia Suluhu Hassan
  2. Emmanuel Nchimbi
  3. Mwigulu Lameck Nchemba
  4. CDF
  5. IGP
  6. Jumanne Muliro
  7. FaustinMafwele
  8. DGIS
  9. Jaji Mkuu
  10. Tulia Akson
  11. Ɓashungwa
  12. Ramadhan Kingai
  13. Mwanasheria. Mkuu
  14. Christian Makonda
  15. Kheri James
  16. Albert Msando
  17. Omera
  18. Jakaya Kikwete
  19. Gerson Msigwa
  20. Abdul Suluhu
  21. Mohammed Mchengerwa
  22. Rostam Aziz
  23. Chalamila
  24. Mwesiga
  25. .....

Orodha inaendelea. Orodhesha unaowafahamu.
Mna fujo 😂
 
Mwingine alitishia waziwazi hapa..

 
Tulia Akson naona aliona mapema sanaaa nini kinakuja kutokea ina maana kwamba alijuwa kutakuwa na msala mkubwa sana kwa taifa...Ila bado kaunganishwa kwenye list.
Huyo hasameheki kwa yale aliyowafanyia wananchi kwenye Uspika wake.

Kukataa kujadili mauaji ya raia, utekaji na watekaji Bungeni kwake, kwa hilo moja peke yake linamjumuisha naye kushiriki moja kwa moja kwenye mauji hayo.

Na suala la kuliondoa jina lake kwenye kinyang'anyiro, hakuliondoa kwa mapenzi yake bali aliliondoa kwa shinikizo.

Nimekupa homework hiyo ifanyie kazi.
 
Wananchi wenzangu, poleni sana kwa unyama tunaoupitia kabla na baada ya uchafunzi mkui.

Bila kupoteza muda nawaomba tuwataje wale wote wanaohusika na uvunjwaji wa haki za Binadamu. Lengo ni kiwasaidia wanasheria na watetezi wa haki za binadamu kuwajumuisha kwenye kesi inayotarajiwa mahakama ya ICC
  1. Samia Suluhu Hassan
  2. Emmanuel Nchimbi
  3. Mwigulu Lameck Nchemba
  4. CDF
  5. IGP
  6. Jumanne Muliro
  7. FaustinMafwele
  8. DGIS
  9. Jaji Mkuu
  10. Tulia Akson
  11. Ɓashungwa
  12. Ramadhan Kingai
  13. Mwanasheria. Mkuu
  14. Christian Makonda
  15. Kheri James
  16. Albert Msando
  17. Omera
  18. Jakaya Kikwete
  19. Gerson Msigwa
  20. Abdul Suluhu
  21. Mohammed Mchengerwa
  22. Rostam Aziz
  23. Chalamila
  24. Mwesiga
  25. .....

Orodha inaendelea. Orodhesha unaowafahamu.
Unawashwa wewe
 
Wananchi wenzangu, poleni sana kwa unyama tunaoupitia kabla na baada ya uchafunzi mkui.

Bila kupoteza muda nawaomba tuwataje wale wote wanaohusika na uvunjwaji wa haki za Binadamu. Lengo ni kiwasaidia wanasheria na watetezi wa haki za binadamu kuwajumuisha kwenye kesi inayotarajiwa mahakama ya ICC
  1. Samia Suluhu Hassan
  2. Emmanuel Nchimbi
  3. Mwigulu Lameck Nchemba
  4. CDF
  5. IGP
  6. Jumanne Muliro
  7. FaustinMafwele
  8. DGIS
  9. Jaji Mkuu
  10. Tulia Akson
  11. Ɓashungwa
  12. Ramadhan Kingai
  13. Mwanasheria. Mkuu
  14. Christian Makonda
  15. Kheri James
  16. Albert Msando
  17. Omera
  18. Jakaya Kikwete
  19. Gerson Msigwa
  20. Abdul Suluhu
  21. Mohammed Mchengerwa
  22. Rostam Aziz
  23. Chalamila
  24. Mwesiga
  25. .....

Orodha inaendelea. Orodhesha unaowafahamu.
Hawa wote are to face firing squad when the time will be ripe!

Na hao wanaofaidi proceeds za uhalifu wajumuishwe
 
Back
Top Bottom