sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.
Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.
Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani
Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments
SONGEA -
Ottawa - real estate na mabasi
Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.
MBEYA -
Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.
Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.
Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware
Maranatha - Anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.
Nasoma - kijana ana duka kubwa la Hardware
Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya
MANYARA
Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.
Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani
Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments
SONGEA -
Ottawa - real estate na mabasi
Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.
MBEYA -
Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.
Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.
Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware
Maranatha - Anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.
Nasoma - kijana ana duka kubwa la Hardware
Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya
MANYARA
Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite