Nakerwa na hii tabia ya kugawa mikoa hata Sumaye alipokua Waziri mkuu aliigawa Arusha na kuja na mkoa wa Manyara mpaka leo kugawa kwake sijaona maendeleo yoyote, akaja pinda naye akagawa mkoa wa Rukwa kisa ni kiongozi , akaja Magufuli naye akawa analeta division tena ya chato ni aibu kabisa, Sasa huu ubaguzi wa kila sehemu akitoka kiongozi kuteua mkoa tutafika kweli, huko tuendako mbona USA ina majimbo makubwa na hawagawi hovyo. Hapa ni kuishauri serikali kuongeza budget za kimaendeleo Hadi ngazi za chini na sio kugawa nchi kwenye vi portion vingi huku umaskini wa watu ukiwa palepale