Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,397
- 19,328
Mmhhh wewe historia yako ulisomea wapi..ndio maana yule jamaa alisema historia iandikwe upya.We jamaa umekomaa lakini naona huna uangalifu. Mkoa wa Kagera mwanzoni uliitwa Bukoba baadaye ukawa Ziwa magharibi na sasa Kagera.