Immortan joe
Senior Member
- Nov 7, 2021
- 162
- 192
D
Na ndiyo wilaya ambayo iko nyuma kimaendeleo kuliko wilaya zote za Mwanza. Hakuna mikakati ya kuendeleza Ukerewe
#Dougras kuna mda huwa natamani pia ukerewe iwe part ya mkoa wa Mara sioni walitumia vigezo gani kuifanya kuiweka mkoa wa mwanza mfano kuna visiwa kama irugwa kutambulishwa eti wapo mwanza aiceee hailet maana kabisa japo sidhani kama kwimba na misungwi hadi mda huu tunaongea wanaizidi ukerewe maendeleoNa ndiyo wilaya ambayo iko nyuma kimaendeleo kuliko wilaya zote za Mwanza. Hakuna mikakati ya kuendeleza Ukerewe chini ya Mwanza. Metaphysics pia ni tatizo kubwa sana Ukerewe. Wakerewe ni Wasukuma ni magwiji wa Metaphysics. Kwanini wasomi wengi wa Ukerewe hawarudi kuendeleza kwao? Nendeni Mara hamtadumaa.