Tuunganishe Ukerewe na nchi kavu

Tuunganishe Ukerewe na nchi kavu

Wakatoliki wao wameshaihamisha Ukerewe kutoka Jimbo katoliki la Mwanza kwenda Jimbo katoliki la Bunda.
Mkuu Japhe,

Umeona ee... hizo ndizo references ambazo ni Dialectical Materialism.

Political and historical events result from the conflict of social forces and are interpretable as a series of contradictions and their solutions. The conflict is seen as caused by material needs. Marxism.
 
Hii kampeni inakupa faida gani kichwani? Au ni nafasi ya kueleza kila unchohisi unakifahamu. Ukabila tu! Kikerewe kinafanana sana na kihaya na kizinza na siyo lugha zote za mkoa wa Mara. lugha ya kijita na kikerewe zinashabihiana kwa maingiliano ya kiutawala wakati wa watemi. Mtemi wa Ukerewe alikuwa na himaya hadi kwa wajita na ndo maana unasikia hata majina yakifanana. Hayo unayoyaeleza ni hadithi zako tu!

Ulichotakiwa kuombea kitokee ni daraja na kuiunganisha Ukerewe na mkoa wa mara kwa kuwa hiyo ni barabara kuu iliyo na sifa za kuunganisha mkoa wa Mwanza na mara.
“We can try to cut ourselves from our fellows on the basis of the education we have had; we can try to carve our for ourselves an unfair share of the wealth of the society. But the cost to us, as well as to our fellow citizens, will be very high. It will be high not only in terms of satisfactions forgone, but also in terms of our own security and well-being.”

Julius Kambarage Nyerere, from his book Uhuru na Maendeleo (Freedom and Development),


Mkuu,
Above philosophy gossips twin-situations of Mafia and Ukerewe.
 
Aisee, nadhani utakuwa na upungufu fulani.

Kwanza mada uliyoleta hapa haina mantiki kabisa. Hoja uliyotanguliza mbele ni kuwepo na "muunganiko wa nchi kavu" kuwa ndiyo kigezo cha hayo unayoyapigia kampeni hapa! Sababu ulizotanguliza kwa Ukerewe kuwekwa Mara ni sababu hafifu kabisa na wala hazina kitu cha kuangalia hapo kwamba ni faida kwa wilaya kuwepo huko unakopapendekeza wewe.

Kuna jambo unalificha, hutaki kuliibua hapa linalokufanya uibue hoja hafifu namna hii.

Lakini zaidi ya yote, ni kukosa kwako uwezo wa kutetea hoja kiasi kwamba inakulazimu useme hadi uongo katika mambo usiyokuwa nayo ufahamu.
Sasa nikueleze ukweli wako: Huko unakodhani Ukerewe itapata nafuu usitegemee unafuu huo, tena ndiko itakakonyongwa zaidi. Na kwa bahati mbaya sana, tunapokuwa na watu kama wewe katika uongozi ndani ya wilaya hiyo ndipo wilaya inapopoteza matumaini yote kabisa.

Kama viongozi wameshindwa/wameogopa kupigania maslahi ya wilaya yao huko waliko sasa, wataweza vipi kuyapigania huko kwingine?

Simama upambane, acha kukimbia mapambano huko wilaya iliko sasa. Taratibu zipo wazi kabisa katika kusimamia maslahi ya wananchi mahali popote. Kwa uzembe wenu, mnaacha kusimama na kuyapigania maslahi hayo, mnaishia tu kuja huku pembeni na kutafuta njia zisizokuwa na manufaa yoyote kwa wananchi.

Kama bado hunielewi, utakuwa unakichwa cha jiwe.
Without the power of Metaphysics life is somehow and somewhat impossible therein. Mwanza has since stayed with the Island but there is an anecdote that the natives of the archipelago who succeed in life outside it are reluctant to return back because of excessive Metaphysics that has since deteriorated the level of societal development, this could be the reason among others that scares off the said 70 dons to assimilate in far locations outside Ukerewe. Civilization in Mara long abandoned the primitive practice.
 
Ukitoka Kiteto, Manyara kwenda Bahati Makao Makuu ya Mkoa wa Manyara, inabidi upite Wilaya za Kibaigwa, Chamwino, Bahi na Dodoma ambazo zipo Dodoma.

Kwa hiyo mgonjwa akipata Rufaa kutoka Wilaya ya Kiteto, itabidi aipite hospitali ya Rufaa ya Dodoma akiwaishwa kwenda hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara iliyopo Babati Mjini
Kumbe maeneo ni mengi tu zaidi ya Ukerewe na Mafia? Baghosha!
Walikuwa wakizingatia nini hasa wakati wanayagawa?
 
Aisee, nadhani utakuwa na upungufu fulani.

Kwanza mada uliyoleta hapa haina mantiki kabisa. Hoja uliyotanguliza mbele ni kuwepo na "muunganiko wa nchi kavu" kuwa ndiyo kigezo cha hayo unayoyapigia kampeni hapa! Sababu ulizotanguliza kwa Ukerewe kuwekwa Mara ni sababu hafifu kabisa na wala hazina kitu cha kuangalia hapo kwamba ni faida kwa wilaya kuwepo huko unakopapendekeza wewe.

Kuna jambo unalificha, hutaki kuliibua hapa linalokufanya uibue hoja hafifu namna hii.

Lakini zaidi ya yote, ni kukosa kwako uwezo wa kutetea hoja kiasi kwamba inakulazimu useme hadi uongo katika mambo usiyokuwa nayo ufahamu.
Sasa nikueleze ukweli wako: Huko unakodhani Ukerewe itapata nafuu usitegemee unafuu huo, tena ndiko itakakonyongwa zaidi. Na kwa bahati mbaya sana, tunapokuwa na watu kama wewe katika uongozi ndani ya wilaya hiyo ndipo wilaya inapopoteza matumaini yote kabisa.

Kama viongozi wameshindwa/wameogopa kupigania maslahi ya wilaya yao huko waliko sasa, wataweza vipi kuyapigania huko kwingine?

Simama upambane, acha kukimbia mapambano huko wilaya iliko sasa. Taratibu zipo wazi kabisa katika kusimamia maslahi ya wananchi mahali popote. Kwa uzembe wenu, mnaacha kusimama na kuyapigania maslahi hayo, mnaishia tu kuja huku pembeni na kutafuta njia zisizokuwa na manufaa yoyote kwa wananchi.

Kama bado hunielewi, utakuwa unakichwa cha jiwe.
Mkuu,
Serious dialogue kama hii haihitaji Zombie inahitaji empirical facts ambazo msomaji anaweza hata kujibia mitihani. Sijaona thought stirring contribution uliyofanya hata moja except you beat around the bush. "Inzi akiacha ujinga atatoa asali" ukiacha jazba utapata points za mashiko za kukuondolea aibu.
 
Imbalance of historical perspectives.
Meaning what?
Mkuu,
Serious dialogue kama hii haihitaji Zombie inahitaji empirical facts ambazo msomaji anaweza hata kujibia mitihani. Sijaona thought stirring contribution uliyofanya hata moja except you beat around the bush. "Inzi akiacha ujinga atatoa asali" ukiacha jazba utapata points za mashiko za kukuondolea aibu.
EeeenHeeee, mimi nilidhani kuna kitu kidogo kichwani kumbe ni mtupu kabisa? Basi endelea na mada yako hii mfu, ambayo wewe mwenyewe huelewi unataka kitu gani.

Hovyo kabisa!

Unadhani ukiweka vimaneno hapa na pale vya kiingereza, hata kama havielezi chochote watu watakuona kuwa unajua kitu?

Tena kumbe umeingia humu mwezi mmoja tu uliopita? Nakuacha uhangaike na upepo kama mwenda wazimu. Bado una mawazo ya 'kujibu mitihani"? JF siyo mahala pa mitihani tena, hapa ni sehemu ya watu waliopevuka.
 
Meaning what?

EeeenHeeee, mimi nilidhani kuna kitu kidogo kichwani kumbe ni mtupu kabisa? Basi endelea na mada yako hii mfu, ambayo wewe mwenyewe huelewi unataka kitu gani.

Hovyo kabisa!

Unadhani ukiweka vimaneno hapa na pale vya kiingereza, hata kama havielezi chochote watu watakuona kuwa unajua kitu?

Tena kumbe umeingia humu mwezi mmoja tu uliopita? Nakuacha uhangaike na upepo kama mwenda wazimu. Bado una mawazo ya 'kujibu mitihani"? JF siyo mahala pa mitihani tena, hapa ni sehemu ya watu waliopevuka.
I quote:
"Tena kumbe umeingia humu mwezi mmoja tu uliopita?"

Reply:
I am one month old vis-a-vis you who is 3 yrs old since July 7, 2018.

Implication:
I am promoted to JF Expert Member
within one month (two weeks time) and you have toiled for the same hierarchy or got stuck in/for 3 yrs time, do you think who is Psychopathic as you described? More so, if I managed to rise to JF Expert Member within a month (catching you) sooner or later I will be Platinum Member (General in army ranking and you will keep being my subordinate/Kuruta)

I quote:
"Basi endelea na mada yako hii mfu"


Reply:
"No question (Topic) is stupid but the answers (contributions) are"

Implication:
As such, I tabled intelligent topic/question and you keep contributing/answering zombie.
 
Meaning what?

EeeenHeeee, mimi nilidhani kuna kitu kidogo kichwani kumbe ni mtupu kabisa? Basi endelea na mada yako hii mfu, ambayo wewe mwenyewe huelewi unataka kitu gani.

Hovyo kabisa!

Unadhani ukiweka vimaneno hapa na pale vya kiingereza, hata kama havielezi chochote watu watakuona kuwa unajua kitu?

Tena kumbe umeingia humu mwezi mmoja tu uliopita? Nakuacha uhangaike na upepo kama mwenda wazimu. Bado una mawazo ya 'kujibu mitihani"? JF siyo mahala pa mitihani tena, hapa ni sehemu ya watu waliopevuka.
I quote:
"JF siyo mahala pa mitihani tena, hapa ni sehemu ya watu waliopevuka"

Reply:

1. Je, unamaanisha kupevuka kwa matusi na kejeli kama hayo uliyoandika hapo juu (baada ya kufilisika ustaarabu na hoja mbadala au?) Nanukuu: "kumbe ni mtupu kabisa?" "mada mfu" "Hovyo kabisa" "tena kumbe umeingia humu mwezi mmoja tu uliopita?" "Nakuacha uhangaike na upepo kama mwenda wazimu"

2. Nijuavyo (niko tayari kusahihishwa) JF inamilikiwa na Maxence Melo na siyo Members wa aina ya Kalamu1.

3. Kwa kuzingatia namba 2 hapo juu, sijasoma mahala popote kwenye disclaimers za JF kama Members wanabaguliwa kwa umri wao wa kuingia JF?

4. Nikukumbushe Disclaimer namba 8) Epuka kutukana, kushambulia au kukwaza wengine: Maandiko ya chuki na yenye mrengo wa kuwashambulia watu hayatovumiliwa na JamiiForums. Wachukulie (waheshimu) wengine kama ambavyo wewe unataka uchukuliwe (uheshimiwe).

5. Kwa uzoefu wangu wa mwezi huo mmoja nimegundua kwamba cross-section ya Members wakiishiwa points wanaamua kuvunja disclaimer namba 8 na nyinginezo wakidhani ndiyo watapata utoshelevu wa moyo na utulivu wa akili.

6. Nina kawaida moja ya ajabu sana hadi ninajishangaa kwamba mimi ninaposhambuliwa (kinyume na haki) ndipo ninapopata nguvu za kuibua majibu ya hekima, busara na maarifa zaidi. I thrive in criticisms, jaribu kurejea nyuzi zangu utagundua ukweli huu, ila ni mwepesi wa kutamka au kuandika neno "samahani"

7. Mwisho lakini siyo kwa umuhimu nakupa ushauri bwana mdogo kwamba kwenye maisha "siku zote usitafute kushinda kwenye kila kitu, acha vingine vipite. Hata shetani japo amepewa mamlaka makubwa lakini bado kuna vita vingine anakubali kushindwa na haendelei navyo"

Mwenye masikio na asikie, asomaye na afahamu.
 
Hapahitaji daraja hapo ni kujaza kifusi tu,watu wanafukia bahari kwa zaidi ya kilomita 20 na kujenga nyumba,itakuwa hapo Bunda na Nansio Ukerewe ?
Exactly, ndicho alichofanya Tom Mboya kuunganisha (land reclamation) Rusinga na Mbita. Yeye alijaza majabali ya mawe hadi yakaibuka juu ya level ya maji alafu akajenga juu yake, kule chini maji yanaendelea ku-cross kwenye majabali hayo kama kawaida ili yasijekupata upinzani wa daraja na kuanza kulibomoa maana maji huwa hayapendi upinzani.
 
Hivi unajua ni km ngapi hapo au unaongea,
1636362172251.png


1636362210122.png



Kutokea mkoa wa Mara sio mbali... kuna kakisiwa katikati kanaweza kupunguza urefu wa Daraja. Kuunganisha inawezakan kabisa. Issue ni kiuchumi kutakuwa na faida?
 
Ukaribu wa Ukerewe na mkoa wa Mwanza
600px-Mwanza-Ukerewe.svg.png


Ukaribu wa Ukerewe na mkoa wa Mara (Bunda)
R.35716408d9461e35572cefe94851db0c


Hoja:
1. Ukerewe iko jirani na mkoa wa Mara kuliko mkoa wa Mwanza.
2. Ninadhani Ukerewe iondolewe mkoa wa Mwanza ipelekwe mkoa wa Mara.
3. Kama tumeweza kujenga Nyerere Bridge Kigamboni-Kurasini, Tanzanite Bridge, Magufuli Bridge (Kigongo Busisi) hatuwezi kushindwa kwa baadaye hali ya bajeti ikiruhusu kujenga daraja kuunganisha Bunda na Ukerewe. Marehemu Tom Mboya ali-reclaim land na kuunganisha nchi kavu na kisiwa cha Rusinga alikozaliwa.

Kisiwa cha Rusinga kikiwa kimeunganishwa na nchi kavu sehemu ya Mbita.

91908541f6580e0246a9ec0cd25446f2.jpg

Taswira zote kwa hisani ya Google.
Vipi mchango wa Ukerewe katika uchumi wa nchi ili ku justfy ujenzi huo ? Gharama za ujenzi wa daraja (Return on Investment) zitarudi vipi?
 
View attachment 2002954

View attachment 2002957


Kutokea mkoa wa Mara sio mbali... kuna kakisiwa katikati kanaweza kupunguza urefu wa Daraja. Kuunganisha inawezakan kabisa. Issue ni kiuchumi kutakuwa na faida?
Safi kabisa mkuu, hii ndiyo michango tunayohitaji michango yenye audio visuals hadi mtu unakosa pa kukosoa. Hii ni maarifa tosha mkuu, unajibu hoja kwa hoja badala ya matusi kwa hoja. Kuhusu uchumi Ukerewe ina potentials zifuatazo:-

1. Panastahili kuwa kituo/kisiwa cha utalii wa kiuvuvi (Fishing tourism), michezo ya majini (water sports e.g. wakeskating, canoe racing) utalii wa ndege (bird tourism. Duniani kote kuna species zaidi ya 18,000 zilizotafitiwa hadi sasa, Ukerewe ikiwa na mamia ya ndege zikiwemo: raptors, songbirds, shorebirds, vultures, cranes, swans, hawks, falcons, owls, and waterfowl, wengine kwa lugha ya kwetu ni Kalamindi, Osogo, Mire, Owichkombulo, Akuru, Odhedhe, Agak, Oyundi, Arumtidi, Undhwe, nk,).

2. Ukerewe kuna utalii wa kitamaduni.

3. Ukerewe kuna Utalii wa kitafiti (Research Tourism). Ukerewe ni sehemu pekee duniani iliyotoa Maprofesa zaidi ya 70, hivyo panafaa kwa utalii wa kufanya tafiti za asili ya wanazuoni hawa.

4. Kuna aina zaidi ya 500 ya samaki, na dazani za wadudu wa ziwani wakiwemo wanyama.

5. Ukerewe inazalisha matunda aina ya maembe dodo, machungwa, mapapai, ndizi, machenza, mapera, ndimu nk na zamani ilikuwa ndiyo inasupply Kanda nzima ya Ziwa.

6. Ukerewe inalima kwa wingi zao la "Manihot esculenta Crantz" (mihogo).

7. Ukerewe inaweza kujenga hoteli za kitalii kisiwani kwenye upepo mwanana wa latitudo 1° 30’ na 3° 00’ Kusini mwa msitari wa Ikweta na longitudo 31° 45’ Mashariki na 34° 10’ Mashariki, na kwamba badala ya Watalii kulala Mwanza kwenye jotoridi wanaweza kwenda kulala Ukerewe kwa boti au gari (barabara ikijengwa kuunganisha Mara na Ukerewe). Kijiografia Ukerewe inaangalia lango la Magharibi la hifadhi ya Serengeti pale Rubana (japo sasa hivi pamepewa mkoa wa Simiyu toka Mara), lango ambalo ni kubwa lakini halijaendelezwa kama lile la Mashariki na kufanya lango la Magharibi kupokea watalii wachache sana (moja ya sababu ni kutokuwepo hoteli za hadhi ya kitalii). Lango la Magharibi la hifadhi ya Serengeti ndilo lina wanyama wengi wanaokunywa maji ya ziwa Victoria na hivyo kufanya wanyama kuwepo kwenye lango hilo mfululizo kwa mwaka bila kuhama kutafuta maji kama kule lango la Mashariki na Kaskazini wanakohama nyumbu kila mwaka kwenda Masai Mara kutafuta maji na malisho.

NB.
Nipeni U-DC bila mshahara nikaibadilishe Ukerewe.
 
Vipi mchango wa Ukerewe katika uchumi wa nchi ili ku justfy ujenzi huo ? Gharama za ujenzi wa daraja (Return on Investment) zitarudi vipi?
Kurudi zitarudi maana kule gari zitaingia nyingi na kutoka hasa kuchukua samaki na matunda pia vyakula kuingia na mafuta kupeleka shell n.k ndo maana hadi boti huzidiwa pia. Lakini kwenye kuunganisha nchi tusijaji saana faida. Watu wanawekewa rami hadi barabara za uchochoroni lakini hazina faida kiuchumi
 
Safi kabisa mkuu, hii ndiyo michango tunayohitaji michango yenye audio visuals hadi mtu unakosa pa kukosoa. Hii ni maarifa tosha mkuu, unajibu hoja kwa hoja badala ya matusi kwa hoja. Kuhusu uchumi Ukerewe ina potentials zifuatazo:-

1. Panastahili kuwa kituo/kisiwa cha utalii wa kiuvuvi (Fishing tourism), michezo ya majini (water sports e.g. wakeskating, canoe racing) utalii wa ndege (bird tourism. Duniani kote kuna species zaidi ya 18,000 zilizotafitiwa hadi sasa, Ukerewe ikiwa na mamia ya ndege zikiwemo: raptors, songbirds, shorebirds, vultures, cranes, swans, hawks, falcons, owls, and waterfowl, wengine kwa lugha ya kwetu ni Kalamindi, Osogo, Mire, Owichkombulo, Akuru, Odhedhe, Agak, Oyundi, Arumtidi, Undhwe, nk,).

2. Ukerewe kuna utalii wa kitamaduni.

3. Ukerewe kuna Utalii wa kitafiti (Research Tourism). Ukerewe ni sehemu pekee duniani iliyotoa Maprofesa zaidi ya 70, hivyo panafaa kwa utalii wa kufanya tafiti za asili ya wanazuoni hawa.

4. Kuna aina zaidi ya 500 ya samaki, na dazani za wadudu wa ziwani wakiwemo wanyama.

5. Ukerewe inazalisha matunda aina ya maembe dodo, machungwa, mapapai, ndizi, machenza, mapera, ndimu nk na zamani ilikuwa ndiyo inasupply Kanda nzima ya Ziwa.

6. Ukerewe inalima kwa wingi zao la "Manihot esculenta Crantz" (mihogo).

7. Ukerewe inaweza kujenga hoteli za kitalii kisiwani kwenye upepo mwanana wa latitudo 1° 30’ na 3° 00’ Kusini mwa msitari wa Ikweta na longitudo 31° 45’ Mashariki na 34° 10’ Mashariki, na kwamba badala ya Watalii kulala Mwanza kwenye jotoridi wanaweza kwenda kulala Ukerewe kwa boti au gari (barabara ikijengwa kuunganisha Mara na Ukerewe). Kijiografia Ukerewe inaangalia lango la Magharibi la hifadhi ya Serengeti pale Rubana (japo sasa hivi pamepewa mkoa wa Simiyu toka Mara), lango ambalo ni kubwa lakini halijaendelezwa kama lile la Mashariki na kufanya lango la Magharibi kupokea watalii wachache sana (moja ya sababu ni kutokuwepo hoteli za hadhi ya kitalii). Lango la Magharibi la hifadhi ya Serengeti ndilo lina wanyama wengi wanaokunywa maji ya ziwa Victoria na hivyo kufanya wanyama kuwepo kwenye lango hilo mfululizo kwa mwaka bila kuhama kutafuta maji kama kule lango la Mashariki na Kaskazini wanakohama nyumbu kila mwaka kwenda Masai Mara kutafuta maji na malisho.

NB.
Nipeni U-DC bila mshahara nikaibadilishe Ukerewe.
#Douglas...aiceee nmependa sana point zako u DC unakufaa
 
Kurudi zitarudi maana kule gari zitaingia nyingi na kutoka hasa kuchukua samaki na matunda pia vyakula kuingia na mafuta kupeleka shell n.k ndo maana hadi boti huzidiwa pia. Lakini kwenye kuunganisha nchi tusijaji saana faida. Watu wanawekewa rami hadi barabara za uchochoroni lakini hazina faida kiuchumi
Mkuu,
Umejibu vizuri sana, namwongezea na hii.

Kama wazo la kuipeleka Ukerewe Mara litaachwa na kuamua labda kujenga tu daraja kati ya Ukerewe na Kisorya Bunda kutokana na unafuu wa ujenzi mahali hapo kwasababu ya ukaribu wa kisiwa hicho na Mara (Kisorya Bunda) kuliko ukaribu wa kisiwa hicho na Mwanza Jiji, mwananchi wa Ukerewe akitaka kwenda Makao Makuu ya Mkoa wake wa Mwanza kwa njia ya daraja/barabara hiyo kupitia Kisorya Bunda, atalazimika kutoka Mkoani kwake Mwanza kwa maana ya Ukerewe, aende Mkoa wa Mara (Bunda), aende Mkoa wa Simiyu (Ramadi) ndipo arudi Mkoa wake wa Mwanza, hivyo kutoka Mkoa wake wa Mwanza kwa njia ya barabara/daraja kumbe analazimika kupitia Mikoa miwili ya Mara na Simiyu ndipo arudi tena Mkoa wake wa Mwanza. Baghosha!

NB. Kutoka Ukerewe kwa barabara (kupitia daraja la Kisorya kama likijengwa) kwenda Musoma ni karibu kuliko kwenda Mwanza Jiji.


Kutoka Wilaya ya Mafia kwenda Makao Makuu ya Mkoa wa Pwani, mwananchi analazimika kwenda Wilaya ya Rufiji, aje Wilaya ya Kibiti, aje Wilaya ya Mkuranga, aje Mkoa wa Dsm ndipo aende Mkoa wa Pwani Kibaha. Kumbe basi kutoka Mafia mtu anatoka nje ya Mkoa wa Pwani anaingia Mkoa wa Dsm alafu anatoka Mkoa wa Dsm ndipo tena aende Mkoa wa Pwani Kibaha palipo Makao Makuu ya Mkoa wa Pwani!!

NB. Wilaya ya Mafia ipewe Mkoa wa Dsm badala ya Mkoa wa Pwani.

 
Mtoa mada hivi utafaidika na nini kuhusu huo mpango wako, yani utapata faida gani ya moja kwa moja? Usitusemee sisi wakerewe kwani hatujakutuma Hilo.....we are very comfortable kuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada hivi utafaidika na nini kuhusu huo mpango wako, yani utapata faida gani ya moja kwa moja? Usitusemee sisi wakerewe kwani hatujakutuma Hilo.....we are very comfortable kuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Na ndiyo wilaya ambayo iko nyuma kimaendeleo kuliko wilaya zote za Mwanza. Hakuna mikakati ya kuendeleza Ukerewe chini ya Mwanza. Metaphysics pia ni tatizo kubwa sana Ukerewe. Wakerewe ni Wasukuma ni magwiji wa Metaphysics. Kwanini wasomi wengi wa Ukerewe hawarudi kuendeleza kwao? Nendeni Mara hamtadumaa.
 
Back
Top Bottom