Tutaenda mahakamani kwa kupata tafsiri ya Mwenyekiti wa maisha Mzee Mbowe

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
5,044
2,566
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.

I think pia uende Mahakamani kuuliza ela za kulea vyama kulipa mishahara na matumizi mengine ya chama, wakati chama hakichukui Ruzuku

Mbowe alikuwa anapata wapi?
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
Umbea huu.....vyama vina katiba zao.,wanachama wao.
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
Asubuhi asuhuhi hata hujampa mumeo cha asubuhi unaamkia ya Mbowe wewe mama vipi?
 
Umbea huu.....vyama vina katiba zao.,wanachama wao.
Katiba zipo lkn zinakiukwa makusudi.
Mzee Mtei alifata katiba ya chama akakaa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama inavyosema katiba ya chama akatoka.

Akaja Bob Makani na yeye akafuata katiba kwa kukaa pia vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama Mtei akatoka. Na hiyo ya kina mzee Mtei na hayati Bob Makani ndio demokrasia iliyosababisha chama kiitwe "Chama cha demokrasia na maendeleo".

Sasa huyu mfanyabiashara anawaona wenzake waliomtangulia wote ni kanyaboya. Ndomaana kaamua kung'ang'ania kitini bila kufuata katiba.

So acha wale wanaoona kuwa katiba ya chama inasiginwa makusudi waende mahakamani.
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
Mwenyekiti wao alisema atastaafu 2023 hivi sasa ni october naunga mkono hoja....
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
Matatizo ya akili huanza taratibu mpaka kufikia watu wengi kutambua kuwa mtu anaugua magonjwa ya akili.

Ndugu wa mleta mada kama mpo humu mtambue mmechelewa sana kumsaidia ndugu yenu mpaka anafikia hatua hii ya sasa.

Huyu kuna siku anaweza hata kufikia hatua ya kushauri kuwa waumini wa kanisa la KKT wafungue kesi kumshitaki Askofu mkuu wa Kanisa la Anglican kwa nini bado ni askofu mkuu yule yule wakati KKT wamekwishamchagua mwingine, na huku yeye anayeshauri, yaani huyu mgonjwa, ni mpagani.
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
Ki Chama, CHADEMA peke yake ndipo hawajabadilisha Mwenyekiti...kwa muda mrefu, halafu ndio vinara wakuhubiri Demokrasia!
 
Katiba zipo lkn zinakiukwa makusudi.
Mzee Mtei alifata katiba ya chama akakaa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama inavyosema katiba ya chama akatoka.

Akaja Bob Makani na yeye akafuata katiba kwa kukaa pia vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama Mtei akatoka. Na hiyo ya kina mzee Mtei na hayati Bob Makani ndio demokrasia iliyosababisha chama kiitwe "Chama cha demokrasia na maendeleo".

Sasa huyu mfanyabiashara anawaona wenzake waliomtangulia wote ni kanyaboya. Ndomaana kaamua kung'ang'ania kitini bila kufuata katiba.

So acha wale wanaoona kuwa katiba ya chama inasiginwa makusudi waende mahakamani.
Wewe sio chama chako nini kinakuuma..
Watanzania wa ajabu sana..mtu wa ccm anaisemea chadema!!!!!.......
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
Chadema wenyewe wamesema ni mwenyekiti wa maisha sababu hakuna mwenye akili mwingine ni mbowe tuu.
 
I think pia uende Mahakamani kuuliza ela za kulea vyama kulipa mishahara na matumizi mengine ya chama, wakati chama hakichukui Ruzuku

Mbowe alikuwa anapata wapi?
Mbowe kakudanganya kuwa hachukui hela za ruzuku na wewe ukaamini? Chadema ruzuku wanavuta kama kawaida na wabunge wenu wale mnawaita sijui COVID 19 huwa wanapeleka milioni 5 kila mwezi Kwa mbowe kila kichwa zidisha mara 19 utajua hela anayovuta mwenyekiti wako wa kudumu!!
 
Back
Top Bottom