Tusubiri vituko teuzi za maDC na maDED

SN.BARRY

JF-Expert Member
Oct 12, 2012
4,040
8,895
Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?

Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.

Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.

Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
 
Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.

Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Bahati nzuri wanaoteuliwa ni watanzania ambacho ndo kigezo kikuu. Mengine ni ziada
 
Back
Top Bottom