Mama Samia nakuomba upige ma DED wote chini..uchague wale professional..na sio wale waliogombea CCM wakashindwa, wakawekwa na Magu. Please. Najua unanisoma hapa mama
Utakuta anateua mzenji kuwa mkuu wa Wilaya Igunga. Hili linawezekana kweli?
Halafu hili suala la vijana wa kizanzibar kuajiriwa kwenye wizara ambazo sio za muungano ni sahihi? Mfano, Afya na Elimu. Watu hao wanachukua ajira za vijana wengi wa bara ilihali sisi wa bara hatuajiriwi Zenji. Naamini wizara husika watalizingatia suala hili Wakati wa kupanga post.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.