Nafikiri tunahitaji kumpa muda Kubenea,bado sijaona zito la kumshuku.issue zinazohusiana na sitta ni complicated,hata sisi wote tulio against CCM kwenye hili hatupo pamoja.mpambanaji wa muda mrefu calibre ya Kubenea si haki kuhukumu kwa haraka haraka hivi.hata Zitto wengine ilituchukua muda kuunganisha dot na kuanza kumhukumu.lakini pia pengine mkuu MTM unalo la moyoni maana nakuheshimu kama moja ya magreat thinker humu!
Silinunui tena.
Ndugu yangu Mtazamo...
Wakati napost hiyo post sikuwahi kuhisi kama sitaeleweka... Mara nyingi ninapost povu huwa najua!!
To be honest, my post was generic... and more so to the journalists, na baadhi ya madeiwaka wa siasa wanaobadilika-badilika with very short memories
The statement may be applicable to Saeed, endapo kweli atakua ameanza kupaparika... I like him as a solder, he is strong ila nina wasiwasi kwani kuanzia August nilianza kununua gazeti lake na kuishia kusoma titles na kulitupa kiti cha nyuma ya gari, something which was never there before, even my wife was shocked kwa jinsi nilivyoanza kufa ganzi kwa lile gazeti
My comment may not be 1005 valid to saeed, but its not bad to take it with a pinch of salt.... NA HIYO YA KUMJIBU SITTA NDIO KABISAAAA... ANAONEKANA KAMA HAKUA NA HABARI YOYOTE WIKI NZIMA, SO WHERE IS OUR GURU KWENYE FANI?
DO WE HVAE ANOTHER KATABARO IN THE MAKING?? MAANA NAONA WALIOPO KAMA WAMETNGENEZWA KWA BARAFU, JUA LIKIWAKA WANAYEYUKA
Silinunui tena.
Silinunui tena.
Kwani limeandika nini tena?
Ndugu yangu Mtazamo...
Wakati napost hiyo post sikuwahi kuhisi kama sitaeleweka... Mara nyingi ninapost povu huwa najua!!
To be honest, my post was generic... and more so to the journalists, na baadhi ya madeiwaka wa siasa wanaobadilika-badilika with very short memories
The statement may be applicable to Saeed, endapo kweli atakua ameanza kupaparika... I like him as a solder, he is strong ila nina wasiwasi kwani kuanzia August nilianza kununua gazeti lake na kuishia kusoma titles na kulitupa kiti cha nyuma ya gari, something which was never there before, even my wife was shocked kwa jinsi nilivyoanza kufa ganzi kwa lile gazeti
My comment may not be 1005 valid to saeed, but its not bad to take it with a pinch of salt.... NA HIYO YA KUMJIBU SITTA NDIO KABISAAAA... ANAONEKANA KAMA HAKUA NA HABARI YOYOTE WIKI NZIMA, SO WHERE IS OUR GURU KWENYE FANI?
DO WE HVAE ANOTHER KATABARO IN THE MAKING?? MAANA NAONA WALIOPO KAMA WAMETNGENEZWA KWA BARAFU, JUA LIKIWAKA WANAYEYUKA
Mkuu nakuheshimu sanaSilinunui tena.
Ni masaa machache tu yamebaki kabla ya singo nyingine ya Saed Kubenea na Mwanahalisi kuingia mtaani, kama kawaida singo hiyo itasheheni maneno ya kashfa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na familia yake. Wakati singo hiyo ikitoka, kwa maelekezo ya waajiri wake wapya aliopingana nao sana kabla ya kusalimu amri, inatarajiwa pia kwamba atakuwa anaendelea na majukumu yake mapya ya kumtakasa Edward Lowassa na wafuasi wake wa ufisadi.
Kwa hakika sasa hivi ile jumatano ambayo ilikuwa iisubiriwa na watanzania wengi kwa hamasa na kiu kubwa kulisubiri gazeti hilo sasa wamehamisha imani yao kwa Raia Mwema.
Karibu kwa mara nyingine bwana Kubenea, utakase unaowatumikia na 'kumuua' mkuu wa nchi na familia yake.
halina contents za kiuana mapinduzi. naona lilishatiwa mfukoni. sasa mimi sitaki kutiwa. silinunui tena. nitapata habar nazotaka JF.
Usemayo ndiyo ninayoyafanya mimi. Mimi I used to say kwamba natamani kila siku iwe jumatano kwa sababu ya Mwanahalisi. Lakini sasa hata wife naye kalishtukia gazeti hili na kwa hakika limepoteza mvuto kwa miezi kadhaa sasa.
Hili la kutumia karibu nusu ya gazeti kumjibu mzee Sitta nalo linaonyesha kukosekana kwa umakini ambako si kawaida ya gazeti hili na Kubenea mwenyewe. Inaonyesha kwamba ama hakuwa na stori ya kuuza kwa wiki nzima, au ameondoa stori muhimu ili amtandike Sitta na huu ni udhaifu wa kitaaluma ambao haukuwahi kuwa sifa ya Kubenea. Je ni kweli kwamba yawezekana makesi yanayomuandama na ambayo alifunguliwa na mafisadi (mfano ni kesi ya Sophia Simba) aliyemuomba msamaha ndo yamemfanya asalimi amri ili ahurumiwe? Amenisikitisha.
Saed Kubenea wasikukatishe tamaa hawa. Go, go my brother your
are doing a fantastic job. Mwanahalisi still my best weakly news paper.
Magamba kama yanashindwa kulala usiku wa kuamukia Jumatano inaonesha
ni kwa kiasi gani kazi yako ya kuelimisha na kufichua maovu ilivyo nzuri.
Keep it up bro