Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Nani wa kuwagusa na raisi ni muislamu mwenzao,wanafanya kila wanachotaka maana wanaelekezwa namna hiyo na raisi,"shehe" wao!
Unadhani polisi hawapo morogoro wafanye intelijensia zao hizo?
 


Kalamazoo: nimfuatlia mabandiko yako, napenda kuuliza.

Kama walifelishwa, unafikiri ni kwa sababu gani?
Walikuwa na potentials zipi ambazo zingekuwa detrimental kwa jamii kama wangeendelea kusoma?
 
Maggid,....
wewe si ni muandishi wa habari lakini?

Nisamehe nikikujumuisha kwenye waandishi wa habari "wanafiki" maana wengi wamesikia yanayo endelea katika redio hiyo lakini wanaishia kuongea chini chini tu kama hivi,kwani ni laana kwa waandishi wa habari kusema "kituo hiki cha redio kinachochea udini tanzania" katika magazeti yenu?

Sawa,umewasikia pia!
Umestuka sana,...then what?
Au kulileta hilo jf ndo mwisho na litapata ufumbuzi?
 
hicho kituo cha redio ni cha kufunga-nashangaa serikali imekaa kimya

Kufunga kituo hicho si suluhisho,
Tamko la waislamu limebandikwa hata humu jamvini kama jinsi lilivyo,
Kituo cha radio kilitumika tu ktk kuweka wazi zaidi kwa kilichosemwa,
Concept hapa ni KITUO KUTUMIKA KUREJEA TAMKO LA MASHEIKH NA KULIJADILI, hivyo kuwafungia ni kuwasha moto mkali.
Kituo jamani hawana kosa, kosa lao ni KUJADILI TAMKO TU.
 

..... na we Mjengwa umejaa malalamishi mpaka hueleweki ! ungeweka wazi kilicho kukera na chanzo chake nini na suluhisho ni nini!
 
Waafrika mnashangaza sana. Hizo dini zenyewe mnazo gombania mmeletewa na wageni. Leo hii ndo mnataka zitutenganishe.
Huku tunakoenda siko. Kuna watu wanatoa maneno yanasikitisha sana.
Tumieni busara!
 
Kalamazoo: nimfuatlia mabandiko yako, napenda kuuliza.

Kama walifelishwa, unafikiri ni kwa sababu gani?
Walikuwa na potentials zipi ambazo zingekuwa detrimental kwa jamii kama wangeendelea kusoma?
sababu ili kuwapendelea wakristo period

detrimental..yes (as per thier belief) waislamu wakisoma watawa over power
 

JK NDO anapalilia haya....believe me, he is desparate kuwanyamazisha Maaskofu wasiongelee elimu ya uraia. Na njia pekee ni kuwanunua baadhi ya Mashehe uchwara ili wapinge kila kitu cha maaskofu ili serikali isikosolewe ki hivyo. Bahati mbaya sana hajui kwamba hata yeye anajiingiza kwenye mkenge mbaya sana!
Nampa pole
 
Naona JK aliyeanzisha hoja hii ya udini ndiye anayepaswa kutoa tamko kwa hao watu wake. Tangu siku ya kwanza alipoanzisha porojo hizi za udini nilijiuliza "hivi huyu mtu hajui kwamba sasa ndio anawasha moto wa udini?" Huyu anapaswa kukaa pembeni haraka iwezekanavyo kabla hajaiingiza nchi matatani.
 
Kwa kweli uchochezi wa kidini kupitia miredioni na kwa kuwatumia viongozi wa kidini ni kwa ajili ya maslahi ya baadhi tu ya wanasiasa. Binafsi siwaungi hawa mkono kwa hila hizo.

Wananchi sisi tuwapuuze tu na kuendelea na umoja wetu wa kitaifa.
 
By taking sides we end up missing the real target and the solution is hardly and sometimes painfully realized.Tujenge utamaduni wa hoja zinazoenzi umoja na si ubaguzi. Tusikumbatie wote tunaoshabihiana dini wala tusibague wote tusioshabihiana dini kwa sababu rafiki au adui yako anaweza kuwa yule mnayeshabihiana au msiyeshabihiana dini. Hakuna sababu timamu ya kututumbukiza kwenye chokochoko za kidini kwa maneno au vitendo ndipo tutambue kuwa sote tunatafunwa na umaskini, wala hakuna sababu ya kupiga hatua kuingia 2015 kwa zaidi ya muongo. Hatuwezi tukafika salama kwenye neema kama tutaanza kushikiana bango wenyewe kwa wenyewe badala ya kuungana kushikia bango ombwe la uongozi.
 
Utumbo mtupu. Waislam wajenge ufahamu. Msikiti wa mwenge ni balaa siku walipokorofishana wao kwa wao kupitia kipaza sauti wakadai wameingiliwa na wakristo just imagine wanatamka takbir kuwa waislam wachukue slaa walizo nazo wapambane na watu ambao wao wanadai ni wakristo, wakatoriki na CHADEMA na kuwa hiyo ndiyo Jihad. Nilitamani nikimbilie polisi kuuliza kama walikuwa wakisikiliza wito huo. Hapo hapo mwenge siku ya ibada ya Idd kubwa sikusikia mawaidha juu ya dini baada ya mwanamama kumaliza. Jamaa alikua anafurahia ushindi wa ccm kuwa ni ushindi wa uislam dhidi ya ukristo. Alidai kuwa ukristo unamiaka mia tangu kuingia nchini na uliukuta uislam hivyo hawapaswi kuongozwa na wakristo. Wanasema waislam ni wachache sana chadema hivyo hakipaswi kuungwa mkono. Hoja iliitimishwa na usemi UISLAM KWANZA. Yaani kama wewe ni kiongozi unanafasi za kazi ajiri waislam kwanza. Watu hawa shule zao ndogo na upeo mdogo wanashinda na kuongoza maisha yao msikitini lakini wanaachiwa vipaza sauti na hajabu hata baadhi ya wasomi usadiki na kujenga chuki kana kwamba wakristo ni jeshi moja. Tazama elimu ya mapadri, maaskofu, wachungaji na wazee wa makanisa ni wasomi. Kupitia kwao watu wanatambua haki zao na fulsa zilizopo. Wakati wale wenye dhamana ya dini ya kiislam ujaza watu ujinga na kuishia kulalamika. Zanzibar ni sehemu ya TZ wanaotaka uislam waende huko. Huko Rais anaandaliwa gwaride kabla ya kuutubia baraza la Idd kuliko kusubiri viongozi wasomi wa kikristo wakitoa tamko nao wanatoa tamko kinzani ni ujuha tu. CCM si Uislam na JK, serikali na Dowans si Uislam. Mtupe haki yetu kupigania maslai ya Taifa letu ili Taifa lishamiri badala ya kubaki na idadi ya viongozi wa nchi waislam haiwasaidii.
 
asante kalamazoo umemjibu vizur sana huyu abunuwas
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…