Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,680
- 91,587
Adhabu ni muhimu gerezani sio katika malezi
Adhabu n muhimu ktk malezi
Adhabu n muhimu ktk malezi
Mimi nachapa, tena vizuri tu na siwezi kupingana na vitabu vitakatifu kuhusu kutumia fimbo kwa wanangu.
Tusipangiane, nitawachapa...Ila unaweza kupingana navyo kufanya mapenzi kabla ya kufunga ndoa.
Hayo sio mapigo, huo ni ukatiri na nyinyi kama jamii ilitakiwa kuuripoti police ama sehem husika ili hatua za kisheria zaid zichukuliwe juu yake.Mtoto ni zawadi.Ndiyo alama yako utakayoacha hapa duniani. Hizo mali utakazoacha zitagombaniwa zitaisha.Ila jina lako atabaki nalo wewe na atalitumia kwa mjukuu wako kama jina lake la tatu. Tusitelekeze wala kuwapiga piga watoto.
Huwa najisikia vibaya pale mzazi au yoyote yule anamposhushia kipigo mtoto tena kilichozidi umri wake.Huku kitaa kuna mama huwa anampiga sana mwanae.Mwanae yupo la pili ni wa kike.Yule mtoto anafanya kazi nyingi jamani.Siku dogo alichelewa kurudi akarudi saa 9 badala ya saa 7 basi kaingia ndani tu hivi ndani kamsalimia mama kakutana na kipigo.Hapo hata hajauliza shida nn ya kuchelewa.
Kumbe dogo alikutana na wahuni wa shule huko yale madarasa ya juu wakampora baadhi ya vitu basi dogo akaenda kushitaki kwa ticha sasa hiyo process hadi ya kupata vitu vyake ndo muda ukapotea hapo.Sisi tumetulia hatuna habari tukashtushwa na kelele hiyo nyumba.Kelele yenyewe si ya kawaida! Ikabidi twende yawezekana shida ni kubwa.
Kumbe bhana sijui alikosa cha kumpigia humo ndani basi akatumia mwamvuli ile ncha iliyochongoka! Kampiga usoni! Mungu mkubwa alimiss jicho! La sivyo alikuwa analiondoa! Ilo usoni alimpompiga palianza kubreed! Sasa mtu wa hivi usipomuita mzazi ukamuita shetani utakuwa na kosa?
Jioni mzee wa nyumba aliporudi ikabidi amuulize kulikoni mwanae! Mtoto akajieleza vizuri huku baba anasikiliza kwa makini! Kilichofuata yule mama alitwangwa,alipigwa,alinyooshwa sana.Mimi huwa sipendi kuona au kusikia mwanamke anapigwa na mwanaume ila hiyo siku nilifurahi sana! Alipata dawa yake.Mtoto kama vile sio wake wa kuzaa.
Wengine hadi vitoto vidogo wakiwa wanaviogesha basi wanavichapa humo humo kwenye beseni.Vinalia hadi vinahuzunisha.Sio vizuri hivyo.
Wakati wa kutaka mwanao akuelewe kwa vipigo ushaisha huko! Mengine tuwaachie mababu zetu waliopenda waogopeke ili wakiingia nyumbani kutoka shamba basi watoto wajifiche.Huu muda ni wa kutengeneza urafiki na watoto wetu ili wawe huru kueleza changamoto zao kisha tuzitatue.
Watoto wa zamani waliwapenda bibi na babu zao sababu waliwasikiliza tofauti na wazazi waliopenda kutumia silaha ya mkono.
Mimi sitapiga mwanangu yoyote kabisakabisa.
Hat ktk maleziAdhabu ni muhimu gerezani sio katika malezi
HahaaIla unaweza kupingana navyo kufanya mapenzi kabla ya kufunga ndoa.
Nazaaje sasaTulia ww hujazaa ukiwa na mtoto uje uedit post
Kaa wenzio wanavyozaaNazaaje sasa
Kama unafikiri kumpenda mtoto ni kutompiga, sawa. Wa kwako usipige, mimi wa kwangu nampiga kwa kiasi. Alafu tukishakufa watakutana kwenye maisha ndo utakapojua aliyekuwa anampenda mwanae kati yangu na wewe ni naniMtoto ni zawadi.Ndiyo alama yako utakayoacha hapa duniani. Hizo mali utakazoacha zitagombaniwa zitaisha.Ila jina lako atabaki nalo wewe na atalitumia kwa mjukuu wako kama jina lake la tatu. Tusitelekeze wala kuwapiga piga watoto.
Huwa najisikia vibaya pale mzazi au yoyote yule anamposhushia kipigo mtoto tena kilichozidi umri wake.Huku kitaa kuna mama huwa anampiga sana mwanae.Mwanae yupo la pili ni wa kike.Yule mtoto anafanya kazi nyingi jamani.Siku dogo alichelewa kurudi akarudi saa 9 badala ya saa 7 basi kaingia ndani tu hivi ndani kamsalimia mama kakutana na kipigo.Hapo hata hajauliza shida nn ya kuchelewa.
Kumbe dogo alikutana na wahuni wa shule huko yale madarasa ya juu wakampora baadhi ya vitu basi dogo akaenda kushitaki kwa ticha sasa hiyo process hadi ya kupata vitu vyake ndo muda ukapotea hapo.Sisi tumetulia hatuna habari tukashtushwa na kelele hiyo nyumba.Kelele yenyewe si ya kawaida! Ikabidi twende yawezekana shida ni kubwa.
Kumbe bhana sijui alikosa cha kumpigia humo ndani basi akatumia mwamvuli ile ncha iliyochongoka! Kampiga usoni! Mungu mkubwa alimiss jicho! La sivyo alikuwa analiondoa! Ilo usoni alimpompiga palianza kubreed! Sasa mtu wa hivi usipomuita mzazi ukamuita shetani utakuwa na kosa?
Jioni mzee wa nyumba aliporudi ikabidi amuulize kulikoni mwanae! Mtoto akajieleza vizuri huku baba anasikiliza kwa makini! Kilichofuata yule mama alitwangwa,alipigwa,alinyooshwa sana.Mimi huwa sipendi kuona au kusikia mwanamke anapigwa na mwanaume ila hiyo siku nilifurahi sana! Alipata dawa yake.Mtoto kama vile sio wake wa kuzaa.
Wengine hadi vitoto vidogo wakiwa wanaviogesha basi wanavichapa humo humo kwenye beseni.Vinalia hadi vinahuzunisha.Sio vizuri hivyo.
Wakati wa kutaka mwanao akuelewe kwa vipigo ushaisha huko! Mengine tuwaachie mababu zetu waliopenda waogopeke ili wakiingia nyumbani kutoka shamba basi watoto wajifiche.Huu muda ni wa kutengeneza urafiki na watoto wetu ili wawe huru kueleza changamoto zao kisha tuzitatue.
Watoto wa zamani waliwapenda bibi na babu zao sababu waliwasikiliza tofauti na wazazi waliopenda kutumia silaha ya mkono.
Mimi sitapiga mwanangu yoyote kabisakabisa.
Wewe umezaa?😅Kaa wenzio wanavyozaa
Mbona mimi nilikuwa sipigwi....Mzee hajawahi Bi'mkubwa kafanya hivyo mara chache sana! Sio lazima!Kama unafikiri kumpenda mtoto ni kutompiga, sawa. Wa kwako usipige, mimi wa kwangu nampiga kwa kiasi. Alafu tukishakufa watakutana kwenye maisha ndo utakapojua aliyekuwa anampenda mwanae kati yangu na wewe ni nani
Unaweza kunionesha neno NI LAZIMA kwenye maandishi yangu, mkuu??Mbona mimi nilikuwa sipigwi....Mzee hajawahi Bi'mkubwa kafanya hivyo mara chache sana! Sio lazima!
Hujaiandika ila ujumbe wako unatafsiri hivyo! Endelea kumpigaUnaweza kunionesha neno NI LAZIMA kwenye maandishi yangu, mkuu??
Kuna mtu niliwahi mwambia hili, wanaume wanadhani kumnyanyasa mke na kumtukana au kumpiga anamkomesha mke tu, kumbe ile hali ya stress na masononeko mwanamke anahamishia hasira kwa watoto kwa kuwa hawezi kujirudishia kwa mumewe, matokeo yake wanaoathirika zaidi ni watotoWanaume wapendeni wake zenu
wanawake wanabeba stress za ndoa/mahusiano wanamalizana na watoto.
Mpaka naandika hapa nimeshaifanyia uchunguzi.Kuna mtu niliwahi mwambia hili, wanaume wanadhani kumnyanyasa mke na kumtukana au kumpiga anamkomesha mke tu, kumbe ile hali ya stress na masononeko mwanamke anahamishia hasira kwa watoto kwa kuwa hawezi kujirudishia kwa mumewe, matokeo yake wanaoathirika zaidi ni watoto
Huwezi kumfanyia ubaya mwanao kisa mwanaume tu mnayeweza kuachana hata kesho;mnakosea!Kuna mtu niliwahi mwambia hili, wanaume wanadhani kumnyanyasa mke na kumtukana au kumpiga anamkomesha mke tu, kumbe ile hali ya stress na masononeko mwanamke anahamishia hasira kwa watoto kwa kuwa hawezi kujirudishia kwa mumewe, matokeo yake wanaoathirika zaidi ni watoto
Kabisa na bahati mbaya wanaume hawaelewi hili, laiti wangejua basi kipindi cha makuzi ya watoto hata kama wake zao wanakosea "makosa yanayovumilika" ni heri kuyapuuzia au kuelezana kiheshima ili tu kulinda ukuaji wa watotoMpaka naandika hapa nimeshaifanyia uchunguzi.
na Siku baba na mama wakiwa na amani hata mtoto akosee mama anakuwa very calm
Mwanaume akikufanyia mbaya usiku basi hasira zote kwa mtoto kukicha! DahMpaka naandika hapa nimeshaifanyia uchunguzi.
na Siku baba na mama wakiwa na amani hata mtoto akosee mama anakuwa very calm