ChaiNikikwambia ndo utamjua
Ulitaka kujua jambo gani toka kwakeChai
Kwahyo unaiga ? Unayaelewa lakini malezi yao embu yachunguze vizuri kuna vitu utashangaaWenzetu mbona hawawapi hayo mapigo
MITHALI. 23:13 SUV
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
MITHALI. 22:15 SUV
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
NB: UWE NA KIASI NA USIMPIGE UKIWA NA HASIRA
Hahaha, ni mtoto mkuu, mke haipo ipo kwa Biblia
Hiii ya mke umeongeza wewe
Ila ya mtoto ipo kwenye mithali
Nayaelewa vizuri sana...hata hapa Tz kuna familia hazifanyi hivyo.Kwahyo unaiga ? Unayaelewa lakini malezi yao embu yachunguze vizuri kuna vitu utashangaa
Wenzenu kina nani.?
Viboko muhimu kulingana na kosa. Mama yangu miaka iuo alishanipiga na ukuni hadi nikazimia.
Pumzika kwa amani mama.
Yote Tisa hata nyie sio wa kuwanyima mapigo dharau zikizidi
Hao ni wakulala seloMkipelekwa polisi mnadai mmeonewa.
Lazima sheria ichukue mkondo wake....
Ndio maana maadili yao yapo china na yanazid kuharibika kila siku. Nasio kwamba awapendi kuwapa mapigo bali sheria na sela zao ndio zinawabana.Wenzetu mbona hawawapi hayo mapigo
Kwahiyo unapinga kipigo kilichozidi mtoto tu au unapinga kipigo kwa ujumla?...
kwamba wapigwe kwa kiwango chake au wasipigwe kabisa?
Kama jibu ni la pili nakupa pole sana kwani huna tofauti na aliyeenda kupambania suluba ziondolewe gerezani na jeshini matokeo yake... niishie hapo kwanza
Mtoto lazima achapwe lakini kulingana na umri wake,kuna mda mtoto anajua kabisa anachofanya sio sahihi na ukimkemea anaacha ila akiona humwangalii anarudia tena, ukimchapa anajifunza hawezi kurudia.