Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
- Thread starter
- #21
Hivyo sawa ila wengine wanafanya tofauti inakuwa uonevu sasa.Mtoto lazima achapwe lakini kulingana na umri wake,kuna mda mtoto anajua kabisa anachofanya sio sahihi na ukimkemea anaacha ila akiona humwangalii anarudia tena, ukimchapa anajifunza hawezi kurudia.