Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 26,081
- 137,302
Labda atafugia kuku.Sasahivi anasubiri mtonyo ili apaue halafu bado anasema “Nikimaliza ujenzi naenda kupanga karibu na kwangu”
Hapa huwa nabaki hoi kabisa 😂
Labda atafugia kuku.Sasahivi anasubiri mtonyo ili apaue halafu bado anasema “Nikimaliza ujenzi naenda kupanga karibu na kwangu”
Hapa huwa nabaki hoi kabisa 😂
Weeh nishaziba mwaya😁Sawa mapengo 🦅
Kabisaata jifanya haoni hili swali😂🦅
Source ni pesa ya urithi bob, so hiyo sihesabiiIle nyumba yako uliyonunua ukiwa na miaka 20 imeshaisha?
Sema Kweli ?Weeh nishaziba mwaya😁
Nishawahi kukuongopea🙄Sema Kweli ?
Ngoja tuone.Labda atafugia kuku.
Mpaka hapo movie ishaisha utamu. Weka tu Azam TwoMungu nifundishe kunyamaza
View attachment 3420450
Mkuu, tupeane huu mchongo mkuu niandae tu nauli ya laki mbili kwenda na kurudi ili nikanunue hicho kiwanja kinachoshindwa bei na nauliMbeya kuna kiwanja mpaka cha laki na nusu ,kikubwa usijioneshe una maisha mazuri .
Hamna kitu kizuri kama kumdai mtu😂😂🦅Sasahivi anasubiri mtonyo ili apaue halafu bado anasema “Nikimaliza ujenzi naenda kupanga karibu na kwangu”
Hapa huwa nabaki hoi kabisa 😂
Una sema 🤔😂Nishawahi kukuongopea🙄
Sitaki kusema😍Una sema 🤔😂
Dah! Mie muoga wa madeni aisee na sipendi kudaiwa 😂Hamna kitu kizuri kama kumdai mtu😂😂🦅
View attachment 3421775
Ila uki dai una sumbua sana 😂😂Dah! Mie muoga wa madeni aisee na sipendi kudaiwa 😂
Njoo niku pangishe 😂🦅Wacha weeeh🤣🤣
Sina kitanda wala godoro,Sina chochote,,, utaniazimisha?Njoo niku pangishe 😂🦅
Usi Waze, hata nguo uta vaa zanguSina kitanda wala godoro,Sina chochote,,, utaniazimisha?
Mkuu ile karaha ambayo siipendi nikiwa nadaiwa hivyo hivyo sipendi kumkarahisha mtu.Ila uki dai una sumbua sana 😂😂