Tusio na nyumba tukutane hapa

Tusio na nyumba tukutane hapa

Je una nyumba?

  • Ndio nina nyumba

    Votes: 23 29.1%
  • Sina nyumba

    Votes: 27 34.2%
  • Kikubwa uzima

    Votes: 29 36.7%

  • Total voters
    79
Hivi haya mawazo ya kimasikini mnayatolea wapi?

Unajenga ili iweje na kwa faida ya nani?

Wote tukimiliki nyumba nani atapanga?

Tuacheni kuyaogopa maisha bhana šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚

NB: Niliyemsikia akisema haya maneno sasahivi amesimamisha boma šŸ˜‚
Na haishi mwenyewe kafugia bata🤣🤣
 
Mimi kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao hiki cha dharura.

Lengo la kuitisha kikao hiki ni kujua idadi ya ma jobless tusio na nyumba ,
maana humu jf kila niki zunguka kila mtu ana nyumba au mjengo mkali na wa maana.

tuki ijua idadi yetu, tuna weza tuka ungana kuweka mgomo ili watu punguzie Kodi, au tumchangie mmoja wetu apate wa kwake šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¦….

I mean no malice to nobody
View attachment 3420444
Wazee walinambia ukipata mke umepata boma. Kwani boma ni nini wakuu kama siyo nyumba?
 
Ninayo ipo mkoa Kuna muda natamani niibebe kuileta Huku dar es salaam Tanzania.

Natania tuu sina nyumba,sina kazi, sina pesa, sina garii sina Kila kitu ni mtu wa kuonewaa HURUMAAA

Natamani hata ajitokeze mtu anipe 10k ya haraka haraka nimudu maisha ya Leo šŸ¤• šŸ¤•
Haya mbona ndio maisha yangu kabisa šŸ¦…
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom