Tusio na nyumba tukutane hapa

Tusio na nyumba tukutane hapa

Je una nyumba?

  • Ndio nina nyumba

    Votes: 23 29.1%
  • Sina nyumba

    Votes: 27 34.2%
  • Kikubwa uzima

    Votes: 29 36.7%

  • Total voters
    79
Ninalo pagale pasaka ya mwakani nalihamia kibabe, ngoja nifanye plumbing na kuweka grill
 
Kikubwa hatulali nje, humohumo tunamolala ndo nyumba zetu😄 ukija ntakwambia karibu nyumbani kwanguna sio karibu nilipopanga
 
Mkuu, tupeane huu mchongo mkuu niandae tu nauli ya laki mbili kwenda na kurudi ili nikanunue hicho kiwanja kinachoshindwa bei na nauli
Wengine kutongoza kwa kusema i love you uwa tunaona aibu kaka .

Hii ni mbinu mdada mmoja ajichanganye kuzama PM nimuwowe .

Wewe kaa pembeni gwaride linapita mzee
 
Mimi kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao hiki cha dharura.

Lengo la kuitisha kikao hiki ni kujua idadi ya ma jobless tusio na nyumba ,
maana humu jf kila niki zunguka kila mtu ana nyumba au mjengo mkali na wa maana.

tuki ijua idadi yetu, tuna weza tuka ungana kuweka mgomo ili watu punguzie Kodi, au tumchangie mmoja wetu apate wa kwake 😂😂🦅.

I mean no malice to nobody
View attachment 3420444
kwa kweli Mungu awasaidie, hakuna kitu cha raha kama kukaa nyumbani kwako, haudaiwi kodi, unatumia umeme,maji na chochote upendavyo hata ikija garama kubwa haiumi kwa sababu unaona ni garama ya nyumbani kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom