Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 26,047
- 137,255
Si umwambie baba Yako akununulie😁,,mie ninayo ya maerehemu baba yangu😎Ehh sina, vipi wewe unayo🤣😂
Si umwambie baba Yako akununulie😁,,mie ninayo ya maerehemu baba yangu😎Ehh sina, vipi wewe unayo🤣😂
Bahati mbaya au nzuri mshua asha kata kamba, ila kuhusu nyumba zake nianze kuhesabu ya wapi sasa?Si umwambie baba Yako akununulie😁,,mie ninayo ya maerehemu baba yangu😎
Oooh,tupeane pole,Bahati mbaya au nzuri mshua asha kata kamba, ila kuhusu nyumba zake nianze kuhesabu ya wapi sasa?
mimi nazungumzia zangu, za urithi sina mzuka nazo.
maana hazija Jengwa kwa style na standard ninayo taka.
Mimi siwezi kuzi hesabu, maana hata tuki sema tugawane pasu pasu bado zina zidi idadi yetu.Oooh,tupeane pole,
Mie nahesabia ni vyangu bhana🤣
Pambana utapata,
Nimekuelewa dogo,aisee mie ndoto yangu ni kujenga au basi,Mimi siwezi kuzi hesabu, maana hata tuki sema tugawane pasu pasu bado zina zidi idadi yetu.
Kuhusu kupata sipendi nyumba nyingi, nataka 2-3, ambazo uki sema nyumba ni nyumba kweli.
(kama una elewa lakini).
Naenda kusema kwa Baba 😎Ukubwa wote huo hauna nyumba🤣🤣🤣
Hana nyumba nae🤣🤣🤣,,Naenda kusema kwa Baba 😎
Uzima alf kuna watu wanasubir wazee wao wachukuliwe wairithi nyumbaKikubwa uzima
Ninayo ipo mkoa Kuna muda natamani niibebe kuileta Huku dar es salaam Tanzania.Mimi kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao hiki cha dharura.
Lengo la kuitisha kikao hiki ni kujua idadi ya ma jobless tusio na nyumba ,
maana humu jf kila niki zunguka kila mtu ana nyumba au mjengo mkali na wa maana.
tuki ijua idadi yetu, tuna weza tuka ungana kuweka mgomo ili watu punguzie Kodi, au tumchangie mmoja wetu apate wa kwake 😂😂🦅.
I mean no malice to nobody
View attachment 3420444
Ni mwaka wa kumiliki na kutawala.
Halafu nani dogo?, nita kuchapa kudadadekiNimekuelewa dogo,aisee mie ndoto yangu ni kujenga au basi,
YpNi mwaka wa kumiliki na kutawala.
Labda vibanda umiza 🤣Wenye Banda, vibanda tuna komenti wapi?
😅😅Halafu nani dogo?, nita kuchapa kudadadeki
we uki itwa dogo na ka gen z uta kubali?
Nimekuelewa dogo,aisee mie ndoto yangu ni kujenga au basi,
Sikubalwe uki itwa dogo na ka gen z uta kubali?
Mimi siwezi kuzi hesabu, maana hata tuki sema tugawane pasu pasu bado zina zidi idadi yetu.
Kuhusu kupata sipendi nyumba nyingi, nataka 2-3, ambazo uki sema nyumba ni nyumba kweli.
(kama una elewa lakini).
Hivi haya mawazo ya kimasikini mnayatolea wapi?Nimekuelewa dogo,aisee mie ndoto yangu ni kujenga au basi,