Tusio na nyumba tukutane hapa

Tusio na nyumba tukutane hapa

Je una nyumba?

  • Ndio nina nyumba

    Votes: 23 29.1%
  • Sina nyumba

    Votes: 27 34.2%
  • Kikubwa uzima

    Votes: 29 36.7%

  • Total voters
    79
Hapa ndio ume nieleza vizuri, daslam sija wahi fika kabisa je ni pazuri?
Pazuri sana ,haswa hapa tandale...

1.Mazingira Safi
2.Chakula Cha kukonga nyoyo
3.Watu wake wakarimu
4.Wanatengeneza pesa
5. Kuna mabinti warembo Kama malaika na vifaa vyao vya kukalia vilaiiiiiiniiiiii

6.Ngoja niishie hapa nikauze kahawa...nitarejea kuelezea sifa za tandale kedekede.
 
Pazuri sana ,haswa hapa tandale...

1.Mazingira Safi
2.Chakula Cha kukonga nyoyo
3.Watu wake wakarimu
4.Wanatengeneza pesa
5. Kuna mabinti warembo Kama malaika na vifaa vyao vya kukalia vilaiiiiiiniiiiii

6.Ngoja niishie hapa nikauze kahawa...nitarejea kuelezea sifa za tandale kedekede.
Dah kama mbinguni, Sasa wewe mbona huna ukarimu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom