Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Ofisi yake ingekua ya kawaida tugekua tumesha nakumsahau ...

Ni mtu tofauti kuanzia yeye mwenyewe mpaka hicho cheo alichonacho

Sijui umenielewa ??? Ukihamaki ujue hujanielewa rudia tena kusoma nilichoandika ...

Edd Mubarak !!!
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Makafiri ndio wenye tabia ya kuwafanya wanadamu MIUNGU kisha wakawaabudia.
Waislam hilo hata mtoto anaeanza kuusoma uislam hilo hawezi fanya.
Kwahiyo mara nyingine ufikiri kwanza kabla hujasema.
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
mbona magufuli mnamuita Mungu
 
Najua unazungumzia CAG.

Unaweza kumzungumzia Magufuli hivyo hivyo?

Ukishindwa hilo, nitaona unamlenga CAG kwa sababu zako za kisiasa tu, huna imani ya ndani kabisa kwamba kusema mtu yeyote asiguswe kama "Mungu" ni kitu kibaya.

Unaamini kwamba kusema mtu yeyote asiguswe kama "Mungu", akiwamo Magufuli, ni kitu kibaya?

Au unaamini hili kwa CAG tu? Kwa Magufuli unaachana na imani hiyo?
Akikujibu nitag .
 
Wewe including na wanafiki kama makonda , Hapi , mawaziri and the whole chain of appointees!
Hahahaa...... kwa bahati nzuri mimi na Dr Magufuli tunamwamini Mungu wa mbinguni aishie katika utatu mtakatifu hivyo umebahatisha kwa kukosea!
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna anaemzungumzia CAG kam mtu tunaongelea kama ofisi ,CAG ni ofisi muhimu kuliko hata TRA sasa makusanyo ya nini kama yanaishia kufanya tafrija za maaskofu?
 
Mkuu matusi ya nn ? Haikupaswa utoe lugha kali. Kiranga kajenga hoja na kuuliza maswali, ulitakiwa ujibu hoja zake na kumtwanga maswali. Ndo mijadala ilivo. Uzuri wa Jf no one sided thread/topic
Kwahiyo kunya anye kuku akinya bata kaharisha siyo?!

Mnachosahau makamanda ni ukweli kuwa hapa Jf kila mwanabodi lugha za kejeli anazijua bila kujali itikadi CHA muhimu ni kuheshimiana tu!
 
asee hii mada HAINA KICHWA WALA MIGUU...
TANZANIA BILA WAPUMBAVU KAMA HAWA INAWEZEKANA..
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Usihangaike sana na ushabiki kwa CAG. Kuna watu wanamuona ni mtu wao! Wanataka asiguswe. Ni hayo hayo tuliambiwa kwa Ramadhani Dau na kumuonesha ni mtu super! Leo hii NSSF haina muelekeo, siyo kwa matatizo ya jana, bali ya miaka ya nyuma na kwa miradi ya kipuuzi toka kwa mtu super.

CAG sasa ni mtu super kwa baadhi ya watu. Eti ni mcha Mungu sana!
 
Hakuna anaemzungumzia CAG kam mtu tunaongelea kama ofisi ,CAG ni ofisi muhimu kuliko hata TRA sasa makusanyo ya nini kama yanaishia kufanya tafrija za maaskofu?
CAG ni dhamana anayopewa mtu usikariri...... Ofisi ni NAO!
 
Usihangaike sana na ushabiki kwa CAG. Kuna watu wanamuona ni mtu wao! Wanataka asiguswe. Ni hayo hayo tuliambiwa kwa Ramadhani Dau na kumuonesha ni mtu super! Leo hii NSSF haina muelekeo, siyo kwa matatizo ya jana, bali ya miaka ya nyuma na kwa miradi ya kipuuzi toka kwa mtu super.

CAG sasa ni mtu super kwa baadhi ya watu. Eti ni mcha Mungu sana!
Nashukuru mkuu!
 
Makafiri ndio wenye tabia ya kuwafanya wanadamu MIUNGU kisha wakawaabudia.
Waislam hilo hata mtoto anaeanza kuusoma uislam hilo hawezi fanya.
Kwahiyo mara nyingine ufikiri kwanza kabla hujasema.
Makafiri ni watu wa aina gani, mkuu?
 
Back
Top Bottom