Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Unaweza kurudia maneno hayo hayo kuhusu Magufuli nione kweli unayaamini kutoka moyoni na si michezo ya kisiasa tu?
 
Mkuu hapa namzungumzia CAG!
Najua unazungumzia CAG.

Unaweza kumzungumzia Magufuli hivyo hivyo?

Ukishindwa hilo, nitaona unamlenga CAG kwa sababu zako za kisiasa tu, huna imani ya ndani kabisa kwamba kusema mtu yeyote asiguswe kama "Mungu" ni kitu kibaya.

Unaamini kwamba kusema mtu yeyote asiguswe kama "Mungu", akiwamo Magufuli, ni kitu kibaya?

Au unaamini hili kwa CAG tu? Kwa Magufuli unaachana na imani hiyo?
 
Najua unazungumzia CAG.

Unaweza kumzungumzia Magufuli hivyo hivyo?

Ukishindwa hilo, nitaona unamlenga CAG kwa sababu zako za kisiasa tu, huna imani ya ndani kabisa kwamba kusema mtu yeyote asiguswe kama "Mungu" ni kitu kibaya.

Unaamini kwamba kusema mtu yeyote asiguswe kama "Mungu", akiwamo Magufuli, ni kitu kibaya?

Au unaamini hili kwa CAG tu? Kwa Magufuli unaachana na imani hiyo?
Mkuu Chadema kila iitwapo leo wanamshambulia Dr Magufuli hapa mtandaoni au huwaoni kamanda?!
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!


Mkuu una hoja nzuri ambayo na mimi ninaiunga mkono. Isipokuwa nitaona kuna shida mahali kama punguzo la bajeti ya CAG ni significantly disproportionate ukilinganisha na punguzo kwenye ofisi nyingine zenye umuhimu na ukubwa wa kazi kama yake, punguzo litakalo athiri utendaji wake kiasi cha kuleta impression kwamba anakuwa almost "incapacitated". Kitakuwa ni kiashiria kibaya.

Vinginevyo ni punguzo la kawaida tuu kulingana na hali ilivyo kwa sasa hivi.
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ku*guni unatuharibia jukwaa letu kwa kutetea kila uovu na upuuzi wa awamu hii japo upo kibaruani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni Mtanzania yupi aliyemuona CAG kama Mungu au ni zaidi ya wengine?

Unamgusa CAG kwa sababu tu katimiza wajibu wake wa kuandika ukweli kuhusu uozo mbali mbali Serikalini ikiwemo Ikulu wa pesa za Walkman kodi in trillions kuchotwa kinyemela bila idhini ya Bunge na pia kugomea $495 millions alizochota huyo dikteta bila idhini ya Bunge kuzigomea CAG Assad asikague!? Anaficha nini wakati hana mamlaka hayo!?
😳

Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu Chadema kila iitwapo leo wanamshambulia Dr Magufuli hapa mtandaoni au huwaoni kamanda?!
Sijawauliza CHADEMA, nimekuuliza wewe.

Kwa hiyo unakubali kwamba umeandika uliyoandika si kwa sababu hupendi kuona mtu yeyote anawekwa juu asiguswe kama "Mungu" (ingekuwa hivyo, ungekubali kanuni hii hata kwa Magufuli, maana yeye si Mungu) ?

Unakubali kwamba, umeandika uliyoandika kumhusu CAG kwa sababu zako za kisiasa tu kumlenga CAG, si kutokana na imani ya kifalsafa iliyojikita kwa kina zaidi ya siasa za majitaka kuchafuana?

Kwa nini unaikubali kanuni kwa CAG, halafu kwa Magufuli huikubali?

Isn't that a double standard?
 
Ni Mungu yupii mkuu..unaemzungumzia hapa..Jina lake tafadhali
 
TIME WILL TELL... CAG alikaguliwa.. Inawezekana ni mrejesho wa ukaguzi kuna pesa inaonekana zilikuwa zikitumika vibaya pale idarani, sasa tutazipeleka kwenye maendeleo..
 
Back
Top Bottom