Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

Jamaa anamuogopa Magufuli hata kuandika tu hapa kwamba Magufuli anaweza kukosea naye, kwani si Mungu, anaogopa.
Hiyo double standard anayoifanya ni ya kijinga sana. .. au ana muona magufuli sio human being
 
Sijakiita kitabu kizuri, nimekiita "kitabu kizuri". Kuna tofauti.

Unaponisoma naomba umakini, mpaka alama za kunukuu zina maana yake.Izingatiwe.
Kwa nini unakiita " kitabu kizuri"?
 
Hiyo double standard anayoifanya ni ya kijinga sana. .. au ana muona magufuli sio human being
Kaanzisha mjadala kisiasa, bila kujua kwamba mjadala uta mu expose Mungu wake, Magufuli, kuliko CAG.

Waingereza wanasema "If you live in a glass house, don't throw stones".

Sasa jamaa kajisahau.

Anaishi kwenye glass house, halafu anarushia watu mawe.
 
Hahaha. .hana logic achana nae ...
Kaanzisha mjadala kisiasa, bila kujua kwamba mjadala uta mu expose Mungu wake, Magufuli, kuliko CAG.

Waingereza wanasema "If you live in a glass house, don't throw stones".

Sasa jamaa kajisahau.

Anaishi kwenye glass house, halafu anarushia watu mawe.
 
Mleta mada punguza ufinyu wa kuona ukweli kidogo,hivi unajua kua CAG ndiye anakagua wizara zote za JMT? Tuacheni unafiki ili alipo sawa sema Malaika siko zote akosei.
 
Mkuu una hoja nzuri ambayo na mimi ninaiunga mkono. Isipokuwa nitaona kuna shida mahali kama punguzo la bajeti ya CAG ni significantly disproportionate ukilinganisha na punguzo kwenye ofisi nyingine zenye umuhimu na ukubwa wa kazi kama yake, punguzo litakalo athiri utendaji wake kiasi cha kuleta impression kwamba anakuwa almost "incapacitated". Kitakuwa ni kiashiria kibaya.

Vinginevyo ni punguzo la kawaida tuu kulingana na hali ilivyo kwa sasa hivi.
Kwani kuna hali gani? Pesa zipo na tunakusanya kodi...
 
If you live in a glass house, don't throw stones.

 
Mkuu una hoja nzuri ambayo na mimi ninaiunga mkono. Isipokuwa nitaona kuna shida mahali kama punguzo la bajeti ya CAG ni significantly disproportionate ukilinganisha na punguzo kwenye ofisi nyingine zenye umuhimu na ukubwa wa kazi kama yake, punguzo litakalo athiri utendaji wake kiasi cha kuleta impression kwamba anakuwa almost "incapacitated". Kitakuwa ni kiashiria kibaya.

Vinginevyo ni punguzo la kawaida tuu kulingana na hali ilivyo kwa sasa hivi.
Kwa hiyo uchumi wetu umeshuka? Kilangila.
 
We jamaa huwa unaandika ukiwa tumbo wazi ..unafiki unakutafuna.
 
Kaanzisha mjadala kisiasa, bila kujua kwamba mjadala uta mu expose Mungu wake, Magufuli, kuliko CAG.

Waingereza wanasema "If you live in a glass house, don't throw stones".

Sasa jamaa kajisahau.

Anaishi kwenye glass house, halafu anarushia watu mawe.

Nahisi na huenda ni hivo unamjua huyu Yohana mbatizaji kiundani.

Na binafsi nahisi na kudhani kua ni hivo kwamba huyu Yohana mbatizaji anajulikana huko kitengoni ikiwemo ID yake ya JF.

Kwa hivo hawezi kusema " Jirani yangu ana sura Mbaya kama Baba yangu" bali atasema "Jirani yangu ana Sura mbaya".
 
Nahisi na huenda ni hivo unamjua huyu Yohana mbatizaji kiundani.

Na binafsi nahisi na kudhani kua ni hivo kwamba huyu Yohana mbatizaji anajulikana huko kitengoni ikiwemo ID yake ya JF.

Kwa hivo hawezi kusema " Jirani yangu ana sura Mbaya kama Baba yangu" bali atasema "Jirani yangu ana Sura mbaya".
Umenichekesha sana ulivyoandika "Kwa hivo hawezi kusema " Jirani yangu ana sura Mbaya kama Baba yangu" bali atasema "Jirani yangu ana Sura mbaya". ".

Huu ndiyo ukweli wenyewe, na shukurani sana kwa mfano wako maridadi kabisa.
 
Umenichekesha sana ulivyoandika "Kwa hivo hawezi kusema " Jirani yangu ana sura Mbaya kama Baba yangu" bali atasema "Jirani yangu ana Sura mbaya". ".

Huu ndiyo ukweli wenyewe, na shukurani sana kwa mfano wako maridadi kabisa.


Shukrani.
Inaonesha mnafahamiana mkuu.
Yeye anaabudu mwanadam na kutoka nje kusema usiabudu mwanadam.
 
Shukrani.
Inaonesha mnafahamiana mkuu.
Yeye anaabudu mwanadam na kutoka nje kusema usiabudu mwanadam.
Mimi si kwamba namfahamu wala nini.

Ila huwa napenda kujadili hoja kwa kuangalia kina na kiini cha jambo. Sasa ukifanya mjadala kifalsafa hivyo, hawa wazushi wazushi wanaokuja na siasa za majitaka wote lazima washindwe mjadala.

Kwa sababu wataleta habari za double standard ambazo zinaweza kuleta ushawishi kwa watu ambao hawajajikita kujadili hoja kwa kina.

Lakini zikifika kwa watu wanaojadili hoja kwa kina, zinakwama.

Kwa sababu siasa za majitaka hizi hazina misingi mirefu kwenye ukweli, ni sarakasi za kuchafuana tu.

Ndiyo maana namuuliza mtu, habari zako za kwamba mtu asiwekwe juu kama "Mungu" unaziamini kiundani kabisa na hata kwa Magufuli unazikubali?

Au unazileta kimazingaombwe tu kwa CAG, lakini kwa Magufuli huzikubali?

Anajiumauma kujibu kitu kinachoeleweka.
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.
Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.
Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.
Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
unaongea kana kwamba hiyo bajet inaenda kwny mfuko wa CAG as personal,yaani kama vile hiyo bajet ni kwa mtu binafsi,how comes uhusishe jambo hilo na uungu wa prof Assad,ungesema tu ofisi ya CAG inastahili bajet ilopewa na co kuona kwamba Mussa Assad atakomesheka kwa mambo yake binafsi kutokana na bajet ndogo kwa office yake
 
Ofisi ya CAG wala siyo ya kawaida kama unavyotaka kuaminisha watu...

Ni ofisi yenye nyaraka na taarifa nyeti za maWizara na maTaasisi yote nchini...

Kuna ushahidi wa kutukuka kushusu taarifa za ufisadi wa viongozi... na watendaji wengine...


Cc: mahondaw
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Mbn ww wataka jiwe lisiguswe au jiwe ni Malaika??
 
Back
Top Bottom