msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,788
- 9,127
Hahah..mleta mada naona amebananishwa kwenye kona na kiranga
Mkuu hapa namzungumzia CAG!
Kama ni hivyo hata mimi sijamtaja Dr Magufuli nimemzungumzia CAG!Sijawauliza CHADEMA, nimekuuliza wewe.
Kwa hiyo unakubali kwamba umeandika uliyoandika si kwa sababu hupendi kuona mtu yeyote anawekwa juu asiguswe kama "Mungu" (ingekuwa hivyo, ungekubali kanuni hii hata kwa Magufuli, maana yeye si Mungu) ?
Unakubali kwamba, umeandika uliyoandikwa kumhusu CAG kwa sababu zako za kisiasa tu kumlenga CAG, si kutokana na imani ya kifalsafa iliyojikita kwa kina zaidi ya siasa za majitaka kuchafuana?
Kwa nini unaikubali kanuni kwa CAG, halafu kwa Magufuli huikubali?
Isn't that a double standard?
Unakubali au hukubali kwamba mtu yeyote asiwekwe juu kama "Mungu" ?Kama ni hivyo hata mimi sijamtaja Dr Magufuli nimemzungumzia CAG!
Ungekuwa mtu makini usingediriki kusema nimemshambulia CAG kwa sababu hakuna pahala nilipomshambulia ila kwa sababu ya jazba za kisiasa zilizokuelemea binafsi nimekuelewa.
Maendeleo hayana vyama!
Mungu anabaki kuwa Mungu hilo hata Nyani Ngabu analijua kuwa hakuna wa kufananishwa na Mungu!Unakubali au hukubali kwamba mtu yeyote asiwekwe juu kama "Mungu" ?
Sasa kwa nini imekuwa vigumu sana kwako kukubali "kanuni yangu ya kwamba mtu asifanywe haguswi kama "Mungu" inatamalaki kwa mtu yeyote, mpaka Magufuli" ?Mungu anabaki kuwa Mungu hilo hata Nyani Ngabu analijua kuwa hakuna wa kufananishwa na Mungu!
Mimi namjadili CAG so usinilazimishe kumjadili mtu mwingine, wewe ni mkongwe hapa Jf unaweza kuanzisha thread ya huyo unayemtaka na wanabodi watachangia huko.......acha kukariri!Sasa kwa nini imekuwa vigumu sana kwako kukubali "kanuni yangu ya kwamba mtu asifanywe haguswi kama "Mungu" inatamalaki kwa mtu yeyote, mpaka Magufuli" ?
Au Magufuli kwako ni Mungu?
Kwa hiyo kwako Magufuli ndo sawa na Mungu maana umeshawishiwa useme maneno kama hayo kwake unarukaruka. Mkiristo gani mnafiki hivi??Mkuu hapa namzungumzia CAG!
Jibu hoja kamanda acha hizo staili za maharage kurukaruka yakidhani hayatatulia yakiiva!Mimi namjadili CAG so usinilazimishe kumjadili mtu mwingine, wewe ni mkongwe hapa Jf unaweza kuanzisha thread ya huyo unayemtaka na wanabodi watachangia huko.......acha kukariri!
Hata Magufuli halingani na Mungu?Mungu anabaki kuwa Mungu hilo hata Nyani Ngabu analijua kuwa hakuna wa kufananishwa na Mungu!
Hayo ni mawazo yako!Kwa hiyo kwako Magufuli ndo sawa na Mungu maana umeshawishiwa useme maneno kama hayo kwake unarukaruka. Mkiristo gani mnafiki hivi??
Mkuu makamanda wako Ifakara kwa mutafungwa.Jibu hoja kamanda acha hizo staili za maharage kurukaruka yakidhani hayatatulia yakiiva!
This is exactly my point.Mimi namjadili CAG so usinilazimishe kumjadili mtu mwingine, wewe ni mkongwe hapa Jf unaweza kuanzisha thread ya huyo unayemtaka na wanabodi watachangia huko.......acha kukariri!
Asante mkuu, kuna wakati wa kukaa kimya na wakati wa kusema, "kitabu kizuri" kilisema 🙂
[/QUOT
Kwa nini unakiita kitabu kizuri?
Mkuu Chadema kila iitwapo leo wanamshambulia Dr Magufuli hapa mtandaoni au huwaoni kamanda?!
Sijakiita kitabu kizuri, nimekiita "kitabu kizuri". Kuna tofauti.Kwa nini unakiita kitabu kizuri?
Na ww rudia kauli hyo kwa mbowe! Maana mnamuoanga zaidi ya malaika, hata kutajwa tu jina lake mnakuja mkukumkukuMtoa mada rudia kauli yako kwa Rais pia.
HahahaUnaweza kurudia maneno hayo hayo kuhusu Magufuli nione kweli unayaamini kutoka moyoni na si michezo ya kisiasa tu?