Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

Mimi si kwamba namfahamu wala nini.

Ila huwa napenda kujadili hoja kwa kuangalia kina na kiini cha jambo. Sasa ukifanya mjadala kifalsafa hivyo, hawa wazushi wazushi wanaokuja na siasa za majitaka wote lazima washindwe mjadala.

Kwa sababu wataleta habari za double standard ambazo zinaweza kuleta ushawishi kwa watu ambao hawajajikita kujadili hoja kwa kina.

Lakini zikifika kwa watu wanaojadili hoja kwa kina, zinakwama.

Kwa sababu siasa za majitaka hizi hazina misingi mirefu kwenye ukweli, ni sarakasi za kuchafuana tu.

Ndiyo maana namuuliza mtu, habari zako za kwamba mtu asiwekwe juu kama "Mungu" unaziamini kiundani kabisa na hata kwa Magufuli unazikubali?

Aau unazileta kimazingaombwe tu kwa CAG, lakini kwa Magufuli huzikubali?

Aanajiumauma kujibu kitu kinachoeleweka.

Maswali yako hapo ndo yanamtafakarisha mtu na kumfanya akose majibu. Hawezi kutoa majibu ya kueleweka. Atasema A sio sawa na 1 ila atashindwa kusema kama B ni sawa 1.

Tumewaona ndugu zetu wakiwa wanafiki na wa kujipendekeza sana bila hofu na kuiita rangi nyeusi kua ni nyeupe na kutaka watu wote waamini ivo mradi tu kulinda maslahi yake.

Tuna safari ndefu sana, na mtu mnafiki anaujua ukweli lkn ipo siku atakana yote ya nyuma.

Ndo tunarudi kwenye kauli yako " Siasa za majitaka".
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Magufuli na kile kidudu mtu chake Kindugai, nao ni binadamu pia(if at all) siyo Miungu!
 
This is exactly my point.

Unamjadili mtu badala ya kujadili kanuni.

Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people.

You my friend, have a small mind.

Great minds are inventors and innovators,

Avarage minds apply innovated tools to solve problems.

Small minds are destroyers, selfish, hypocrites, killers and enemies of social-economic development.
 
Natoa tu angalizo maana kuna watu hapa wanatamani Controller and Auditor General asiguswe kwa lolote.

Nasema hilo haliwezekani maana CAG ni cheo kinachobebwa na mtu na wala siyo Mungu kwahiyo yeye mwenyewe anaweza kuwa na mapungufu au wasaidizi wake tena ya kibinaadamu kabisa.

Kwa mfano kuna wizara, idara na taasisi nyingi za serikali ambazo zimepewa bajeti kidogo ukilinganisha na mwaka jana lakini watu wanamuona CAG pekee. Tena wengi wanaona ama ameonewa au anafanyiwa figisu za hujuma.

Watanzania tunaelekea wapi jamani, binafsi namkubali sana CAG wa sasa Alhaj Prof Assad lakini hiyo hainifanyi nimuone ni zaidi ya binadamu wengine.
Ni ukweli anaitendea haki dhamana yake lakini ni lazima tukubali kuwa ofisi yake ni ya kawaida tu kama zilivyo ofisi nyingine za serikali.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Umetumwa na ndugai au jiwe?ulivyojitutumua kuandika kama mtu aliyetumwa vile.
 
Naona mtoa mada amekimbia uzi wake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kaanzisha mjadala kisiasa, bila kujua kwamba mjadala uta mu expose Mungu wake, Magufuli, kuliko CAG.

Waingereza wanasema "If you live in a glass house, don't throw stones".

Sasa jamaa kajisahau.

Anaishi kwenye glass house, halafu anarushia watu mawe.
Hahahaa..... Siyo vioo vyote vinavyopasuliwa na mawe usikariri!
 
unaongea kana kwamba hiyo bajet inaenda kwny mfuko wa CAG as personal,yaani kama vile hiyo bajet ni kwa mtu binafsi,how comes uhusishe jambo hilo na uungu wa prof Assad,ungesema tu ofisi ya CAG inastahili bajet ilopewa na co kuona kwamba Mussa Assad atakomesheka kwa mambo yake binafsi kutokana na bajet ndogo kwa office yake
Mungu ni ufalme wa mbinguni usisahau hilo.

Na CAG ndio huyo alhaj Assad kwa sasa huwezi kumtenganisha.

Ofisi ina jina lake wahasibu watakujuza!
 
Mimi si kwamba namfahamu wala nini.

Ila huwa napenda kujadili hoja kwa kuangalia kina na kiini cha jambo. Sasa ukifanya mjadala kifalsafa hivyo, hawa wazushi wazushi wanaokuja na siasa za majitaka wote lazima washindwe mjadala.

Kwa sababu wataleta habari za double standard ambazo zinaweza kuleta ushawishi kwa watu ambao hawajajikita kujadili hoja kwa kina.

Lakini zikifika kwa watu wanaojadili hoja kwa kina, zinakwama.

Kwa sababu siasa za majitaka hizi hazina misingi mirefu kwenye ukweli, ni sarakasi za kuchafuana tu.

Ndiyo maana namuuliza mtu, habari zako za kwamba mtu asiwekwe juu kama "Mungu" unaziamini kiundani kabisa na hata kwa Magufuli unazikubali?

Au unazileta kimazingaombwe tu kwa CAG, lakini kwa Magufuli huzikubali?

Anajiumauma kujibu kitu kinachoeleweka.
Wewe ndio umekurupuka huko ulikofichwa na siasa majitaka.

Kama wewe una hoja kuhusu Rais Magufuli anzisha mada unachoogopa ni nini hadi utake nikupakate kwenye mada yangu!!
 
Wewe ndio umekurupuka huko ulikofichwa na siasa majitaka.

Kama wewe una hoja kuhusu Rais Magufuli anzisha mada unachoogopa ni nini hadi utake nikupakate kwenye mada yangu!!

Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people.

You my friend, have a small mind.
 
Wewe ndio unayemtaja Magufuli mimi hoja yangu inahusu CAG usinipangie mbwiga wahed!
Tatizo huna hoja zaidi ya kujamba ushuzi na kuchafua hewa tu hapa, ungekuwa na hoja, ungejibu maswali yangu.
 
Back
Top Bottom