Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,893
- 8,972
ngoja nijaribu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Shusha kwenye download ya kingereza kwa chiniMi inaniandikia ni update kila nikiingia naweza kufanyaje??maana inaandika kiarabu. Na nktrnslate inaleta mambo ya ajabu
Zipo nyingi unachagua unazotaka
GBWA v5.00-2.16.310 @atnfas_hoak.apkLink yenyewe mbna naona kiarabu
Mambo yote yapo kwenye gbsettingMsaada unabadilishaje icon ya gbwatsap?
Nimeenda mpk pale but cjaona sehemu ya kuchange iconMambo yote yapo kwenye gbsetting
Ukiingia kwenye gbsetting chagua namba 6 other mods ingia hapo utaona ya kwanza kabisa kuchange icon chagua rangi unayotakaNimeenda mpk pale but cjaona sehemu ya kuchange icon
Maujanja gani sasa unataka? Uliza swali ujibiweTupieni maujanja zaidi kwani Jf ni chuo tosha.
Sema kama hujui ufundishwe2. Theme zake za ajabu ajabu...
Hamna kitu...kwanza huwez kureply kwa specific sender hasa kwenye group
nishakua mtaalam sasa hii kitu iko poaNenda Gb setting >>>>>themes then chagua uipendayo
Unaweza uka edit chochote kile man, iko poa mno, pia unaweza ukaweka password kwa mtu flani tu hata wife akitaka asome hawez, atasoma za watu wengine tunishakua mtaalam sasa hii kitu iko poa
Hiyo GB setting mbona naitafuta siioni kiongozi,msaada tutani.nishakua mtaalam sasa hii kitu iko poa
Sio kweli,Hii gb whatsapp ni kali tatizo lake ni mojaaa tuuu kuchelewa kupata notfication.... Yan kuoata notification zako hadii uifunguee... Wakat ile whatsapp ya kawaida ukiwasha data tuuu notification zinaingiaaa... Hapo ndipowalpofel lakin kwingine wako poa cz unaitumia vike unavyopenda upande wa themes hadi icon colour