Tushee maujanja ya gbwhatsapp

Tushee maujanja ya gbwhatsapp

Aya mavitu ndio yanaleta udukuzi kwenye izi smartfn unadld inakuleta mambo ya fb bila hata wewe kujijua mwisho wasiku unambii wewe jf siunatumiaga ID flani unabaki kutoa macho kama FUNDI SAA vile
 
Mbona me inachelewa sana kufungua message ambazo zimetumwa.
 
Hii gb whatsapp ni kali tatizo lake ni mojaaa tuuu kuchelewa kupata notfication.... Yan kuoata notification zako hadii uifunguee... Wakat ile whatsapp ya kawaida ukiwasha data tuuu notification zinaingiaaa... Hapo ndipowalpofel lakin kwingine wako poa cz unaitumia vike unavyopenda upande wa themes hadi icon colour
 
Hii gb whatsapp ni kali tatizo lake ni mojaaa tuuu kuchelewa kupata notfication.... Yan kuoata notification zako hadii uifunguee... Wakat ile whatsapp ya kawaida ukiwasha data tuuu notification zinaingiaaa... Hapo ndipowalpofel lakin kwingine wako poa cz unaitumia vike unavyopenda upande wa themes hadi icon colour
Sio kweli,
Kuhusu notifikation kuna sehemu kwenye settings,
Unaweka tiki kwenye online when screen is off
 
Back
Top Bottom