Usimdanganye mwenzio. maana yake muda wote unaonekana upo online hata kama hujafungua whatsappSio kweli,
Kuhusu notifikation kuna sehemu kwenye settings,
Unaweka tiki kwenye online when screen is off
Usimdanganye mwenzio. maana yake muda wote unaonekana upo online hata kama hujafungua whatsappSio kweli,
Kuhusu notifikation kuna sehemu kwenye settings,
Unaweka tiki kwenye online when screen is off
Mi hii huwa inakataa ku install saiz nakula utamu tu wa gbwhatsaapMimi natumia hii, ni mzuri sana kwa upande wangu, ina features karibu zote za GbWhatsApp.
Whatsapp+ Jim's Techs - Techs ForEver
Hujamuelewa huyo jamaa, anamaanisha kinachofanya msg zichelewe kuingia ni hyo hapo, ukiweka tiki hapo kwenye always online ndio inafanya msg zichelewe, aza waizi kila kitu kipo mweleleUsimdanganye mwenzio. maana yake muda wote unaonekana upo online hata kama hujafungua whatsapp
Mkuu naomba nisidie mi gbwatsap inagoma kwanguNzuri sn tena sn ukiitumia hutoacha kutumia
nimeinstall ila sioni cha maana iko kama wasap ya kawaida tu sasa sijui nakosea wapi mkuu Yumbayumba