Ilu
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,199
- 1,651
Asantee nimejaribu tena inaandika..deceptive siteNdo ilivo, ila shusha chini kidogo utaona neno download ndo itakudirect sehemu ya kudownload
Asantee nimejaribu tena inaandika..deceptive siteNdo ilivo, ila shusha chini kidogo utaona neno download ndo itakudirect sehemu ya kudownload
Hiyo noma sn utatoa ushuhuda ukianza kutumiaNaona ina download ngoja tuone, nisipewe burn tu maana nikikumbuka whats app plus ilichonifanyaga
Ila natakiwa kufuta previous what's app sioHiyo noma sn utatoa ushuhuda ukianza kutumia
Mkuu ww ume download addsnimedownload apa zaid ya mara kumi ad imekataa wamenipa guid nkadanlod gbxap downloader nkatumia nayo pia imegoma natumia tecno p5 nisaidien wadau
Hiyo noma sn utatoa ushuhuda ukianza kutumia[/QUOTE
yan inaload for backup nusu saa now na haitak ni skip
hiyo unayotumia itakua sio gb whatsappHamna kitu...kwanza huwez kureply kwa specific sender hasa kwenye group
Hajaijjua tu ku customise tuhiyo unayotumia itakua sio gb whatsapp
UsiifuteIla natakiwa kufuta previous what's app sio
Mi inaniandikia ni update kila nikiingia naweza kufanyaje??maana inaandika kiarabu. Na nktrnslate inaleta mambo ya ajabuHabari ya jumapili wakubwa naomba tushee maujanja ya gbwhatsapp,mimi uwa napenda bahadhi ya themes kwa juu kabisa inakuonyesha marafiki zako ambao wapo online,pili unaweza kubadili rangi ya maandishi ya chating zangu,tatu kubadili rangi ya icon,nne naweza kuzome profile picture ya rafiki yangu
niliwahi kuitumia ni nzuri...ila wakati mwingine inastalk yaan sms mfano kweny group watu wanachat ww sms huzioni watu wamechat saa 1 asbuh sms zinakuja kuingia saa 10 jion....hilo tatizo likawa linatokea km kila baada ya sku 2,3....sjui ishu ni cm nnayotumia au ni GBwhatsApp...Habari ya jumapili wakubwa naomba tushee maujanja ya gbwhatsapp,mimi uwa napenda bahadhi ya themes kwa juu kabisa inakuonyesha marafiki zako ambao wapo online,pili unaweza kubadili rangi ya maandishi ya chating zangu,tatu kubadili rangi ya icon,nne naweza kuzome profile picture ya rafiki yangu
Update hiyo gb yako..pia usije hide second tick huwa inafanya sms ku delayniliwahi kuitumia ni nzuri...ila wakati mwingine inastalk yaan sms mfano kweny group watu wanachat ww sms huzioni watu wamechat saa 1 asbuh sms zinakuja kuingia saa 10 jion....hilo tatizo likawa linatokea km kila baada ya sku 2,3....sjui ishu ni cm nnayotumia au ni GBwhatsApp...
Inatakiwa uapdate, ukiclick update itakudirect kwenye link ya udateMi inaniandikia ni update kila nikiingia naweza kufanyaje??maana inaandika kiarabu. Na nktrnslate inaleta mambo ya ajabu
Version za saiv hayo matatizo hayapo tenaniliwahi kuitumia ni nzuri...ila wakati mwingine inastalk yaan sms mfano kweny group watu wanachat ww sms huzioni watu wamechat saa 1 asbuh sms zinakuja kuingia saa 10 jion....hilo tatizo likawa linatokea km kila baada ya sku 2,3....sjui ishu ni cm nnayotumia au ni GBwhatsApp...
nsaidie nanma ya kuinstall... [steps]Version za saiv hayo matatizo hayapo tena
Sasa sindo mana kuna latest version zinatoka ili kufix bugs kama yakosiku hide 2nd tick...ila ilinikatisha tamaa...sms kudelay ni msalaaa
sawa mkuu...nsaidie namna ya kuistall niifix kweny cm yang fastaaaSasa sindo mana kuna latest version zinatoka ili kufix bugs kama yako
Agalia juu huko kuna mtu nmempa linksawa mkuu...nsaidie namna ya kuistall niifix kweny cm yang fastaaa