proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,485
- 11,549
Kumbe mlevi
We need more postsVijana huwa nawaelekeza hawaelewi bwashee
Bwashee siamini kama mtu anaweza tafuta pesa na hanywi pombe😇
u Have something but naona una hide sanaSure
Nimejikuta naimba tu....nimeshalewa na mniache.Amanda ni mjomba wangu wenye akili nyingi bwashee
Ila niongeze maneno kidogo "saka pesa kwa njia yoyote ile" namaanisha hata za ulimwengu wa roho.Leo nimelewa nampigia b mkubwa kilevi levi , anacheka cheka tu , nakunipa maneno ya baraka za kutosha .
Hakuna mwanamke atakupa attention bila pesa wewe kijana mpumbavu 😅😅
Pakikucha uanze kuomba mods msamaha😂🙌
Ngono ni mbayaKatika kitu mimi sipo ni kufanya ngono , mimi ni pombe na pesa na music tu , na enjoy napesa yangu inaonekana
Kwa hio unamlesha maza ili kusudi akupe attention ipi labda?Hakuna mwanamke atakupa attention bila pesa wewe kijana mpumbavu
Huu ni ukweli na uhakika.Tusake pesa bwashee , maneno tuwaachie wapumbavu 😁
😆 🤣 Mama yako kweli hataki ujinga kabisaMama yangu , alishachoka kupenda wapumbavu wa hivyo asee 😊
Hakuna member aliye na uwezo wa kufuta uzi wake baada ya kuupandisha.Huyu jamaa ana anzisha nyuzi zenye ukakasi kisha anazifuta baada ya kushambuliwa
Hivi ni wewe kweli?Leo nimelewa nampigia b mkubwa kilevi levi , anacheka cheka tu , nakunipa maneno ya baraka za kutosha .
Hakuna mwanamke atakupa attention bila pesa wewe kijana mpumbavu 😅😅
Za ulimwengu wa roho zitakutoa roho, chunga tamaa zako 😂Ila niongeze maneno kidogo "saka pesa kwa njia yoyote ile" namaanisha hata za ulimwengu wa roho.
Utakuwa wewe sio mtoto wake labda alikuadopt tuMama yangu , alishachoka kupenda wapumbavu wa hivyo asee 😊