min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 56,703
- 162,001
Kuna fununu nimezisikia eti, kuna miamba, wanawapa mimba wadada ikifikia miezi mitano wanashawishi itolewe, mdada akiogopa anafanya maarifa ya kuwa patia kombikit bila kujijua 🤔
Ikishatoka, kitu inazikwa halafu inafukuliwa na kuchimbwa mlangoni mwa biashara kwa masharti makali ya mganga kuvuta vibunda na kupiga pesa .
Wadada kaeni chonjo hizi stories nimesikia kwa mmalawi mmoja, ikifika bongo kwa wale wazee wa imani za hovyo mmekwisha.
Karibuni bia 🍻🍻
Ikishatoka, kitu inazikwa halafu inafukuliwa na kuchimbwa mlangoni mwa biashara kwa masharti makali ya mganga kuvuta vibunda na kupiga pesa .
Wadada kaeni chonjo hizi stories nimesikia kwa mmalawi mmoja, ikifika bongo kwa wale wazee wa imani za hovyo mmekwisha.
Karibuni bia 🍻🍻