Tusake pesa

Tusake pesa

Mno , mim mama yangu ni bibi kwa wengine hapa 78 , ila leo nimemtumia mili 5 ya achana na bia za kila sku ana oda yangu , ila mpaka kanichumu😅
Juzi nilipewa maneno ya baraka na ahsante na Mama yangu, Hadi nikataka kulia, mm n ngumu kutoa chozi but juzi ilibaki kidogo nilie, ikabidi nimwambie mama basi nikakata simu...Pesa inaleta Uhuru wa machaguo.
 
Hapo sijaelewa connection ya
1. pesa
2. Kulewa
3. Kuongea na mama na kukupa baraka.

Mie nahisi hata nivuke huku kwenye u elfu kumionea, u lakionea, niwe milionea kabisa, bado mama yangu nikijichanganya atanipa makavu live.
 
Kama ataweza kunipa idea ya biashara niwekeze Bila mtaji wowote na faida iwe ya chap kwa haraka, bc kweli atakuwa mentor wangu wa nguvu mno

Kwanza hebu muamini mwalimu wako chai ya rangi mwamba alitaka vijana wawili awa mentor.

Jiunge tu. Ana madini sana.
Au unataka uende kwa baharia 1 😊😊😊😊
 
Kwamba mama yako anakupa attention kisa una pesa?

Kipindi anakuzaa huwezi hata kujigeuza, huna chochote zaidi ya makamasi tu, alikufanyia kila kitu na jicho lake muda wote lilikua kwako leo hii ndo unamuwazia hivyo.
UTakiwi kubishana na mlevi , labda kama na wewe umelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom