Tule pombe chaulevi mwenzangu vingine vyote ni batiliSasa niombe msamaha ili iweje?
Jana nilipitiwa na usingizi nimeacha mziki sauti ya juu mno , nilikunywa kidogo mno ila nilipata usingizi wa ghaflaTule pombe chaulevi mwenzangu vingine vyote ni batiliView attachment 3604432
Pole sana tajiri😁Jana nilipitiwa na usingizi nimeacha mziki sauti ya juu mno , nilikunywa kidogo mno ila nilipata usingizi wa ghafla
Inatafakarisha,pesa ndiyo kila kitu ukikosa unanyauka kweli maana hata kasupu huwezi kunywa 😀
Inatafakarisha,pesa ndiyo kila kitu ukikosa unanyauka kweli maana hata kasupu huwezi kunywa 😀
Kweli bwashee, mara moja moja kulewa sio mbaya😃Inatafakarisha,pesa ndiyo kila kitu ukikosa unanyauka kweli maana hata kasupu huwezi kunywa 😀
Kuna aliyewahi kulewa halafu asubuhi unaitaji supu huwezi kununua una buku tu,then unajongea taratibu kwenye mihogo yenye kachumbari nyingi ndiyo inakuwa pona yako.