Kipindi anakuzaa huwezi hata kujigeuza, huna chochote zaidi ya makamasi tu, alikufanyia kila kitu na jicho lake muda wote lilikua kwako leo hii ndo unamuwazia hivyo.
Hongera mgerasi nasikia umehama kutoka ile kampuni ya ulizi ya wachapa kazi security na sasa umehamia Garda world na umepelekwa lindo la Toyota pale posta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.